Tafuta kitabu cha kijapani kinaitwa Ikigai kitakusaidia vitu vingi sana kuhusu haya mambo.
Btw. Kula kiasi, achana na manyamanyama wale wa zamani walikuwa wanakula na wako poa kwa nature ya lifestyle sio sisi tunaoshinda kwenye magari na kwenye viti. Kula sana matunda na mboga za majani
Nyungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.