Maili tatu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 830
- 1,079
Dawa yangu ni mazoezi ya maana tu kwa kweli, ila kuhusu kula lazima nile tena nishibe...Kuna mazingira unakutana nayo hapa nchini unabakia kula kilichopo, kula kwa afya ni nyumbani kwangu.
Mimi nimesha anza baadhi ya vipengele japokuwa niko gen-zSukari na pressure na heart attack inaweza kuzuilika Kama tukizingatia lifestyle nzuri.
Kula kiasi kidogo usile ukashiba Sana...kwa mfano chapati mbili na bakuli la choroko inatosha kbs..nyama sio nzuri..pendelea sana maziwa mtindi.
Ugali na wali haufai...matembere na kabeji NI mboga nzuri sana..matunda mazuri kbs duniani NI tikitimaji na tango.
Kumbuka kunywa maji Lita zaidi ya nne kwa siku.mazoezi ya kukimbia na ya kutoa jasho NI mazuri...epuka pombe sio nzuri sana
Amina... Bahati mbaya watu wamerundikana kwenye minyanduano tu...Uzi mzuri ufufuliwe
yaani tunachelewa sana kama TaifaAmina... Bahati mbaya watu wamerundikana kwenye minyanduano tu...
Wewe sio wa kutushauri kuhusu pombeSukari na pressure na heart attack inaweza kuzuilika Kama tukizingatia lifestyle nzuri.
Kula kiasi kidogo usile ukashiba Sana...kwa mfano chapati mbili na bakuli la choroko inatosha kbs..nyama sio nzuri..pendelea sana maziwa mtindi.
Ugali na wali haufai...matembere na kabeji NI mboga nzuri sana..matunda mazuri kbs duniani NI tikitimaji na tango.
Kumbuka kunywa maji Lita zaidi ya nne kwa siku.mazoezi ya kukimbia na ya kutoa jasho NI mazuri...epuka pombe sio nzuri sana
Yaani sisi wa kaskazini tupunguze nyama? Aah wapi, wakati kuna kloriti ya kusafisha mwili. Masai hoyeeMh
Mh,ntaweza kweli hivi mimi!!
Hii kitu gani unaandika eroo!Mamung'unya NI mazuri..kula ugali kidogo tonge tano zinatosha..kula ila usishibe ubaki na njaa kwa mbali.
Hii mada mzuri sanaKwa uzoefu wangu mdogo nimebaini Watanzania wengi sana tunapofikisha miaka around 40 tunaanza kupata changamoto nyingi sana za kiafya zinazo weza kuzuilika kutokana na life style zetu.
Ukiachana na kutofanya mazoezi swala la ulaji na aina ya vyakula tunakula lina beba taswira kubwa sana ya changamoto za maradhi kadiri umri unavyokwenda.
Lakini pia kuna swala la kutokufanya mazoezi na mentality za kustaafu zina fanya wastaafu wengi sana kufa mapema au kwa mateso kwa changamoto za kiafya zinazo zuilika.
Naamini hapa JF wapo wataalamu lakini wapo pia ambao wanajua mambo haya kupitia uzoefu nk
Nimatarajio yangu watatujuza mambo haya muhimu tuyaepuka tufurahie uzee wetu.
Karibuni kwa madini na nondo zaidi.
Asante sana kwa ushauri ila lita nne za maji dah! Kwa mikoa yenye baridi, uwe jirani na choo. La sivyo...Sukari na pressure na heart attack inaweza kuzuilika Kama tukizingatia lifestyle nzuri.
Kula kiasi kidogo usile ukashiba Sana...kwa mfano chapati mbili na bakuli la choroko inatosha kbs..nyama sio nzuri..pendelea sana maziwa mtindi.
Ugali na wali haufai...matembere na kabeji NI mboga nzuri sana..matunda mazuri kbs duniani NI tikitimaji na tango.
Kumbuka kunywa maji Lita zaidi ya nne kwa siku.mazoezi ya kukimbia na ya kutoa jasho NI mazuri...epuka pombe sio nzuri sana