Recent content by Obhwire bhwirile

  1. O

    Mbona Iran haijatuma mwakilishi msibani?

    Changu hakimuulizi mfinyanzi
  2. O

    Bao la kisigino

    Ndugu zangu watanzania tuachane na siasa za chuki, sikutegemea kuona Mh Rais wetu akipeana mkono na mtu ambaye amehubiriwa na anaendelea kusemwa kuwa ni fisadi ,hadi watoto wanaaminishwa hivyo lakini leo wanakaa pamoja , wanafurahia kukutana kwa, lakini sisi bado tunaitana majina ya ajabu na...
  3. O

    Bao la kisigino

    Tukiacha unafiki kuna kitu cha kujifunza hapa kama binadamu na hasa tukiwa ni watanzania, kwa pande zote mbili, kwa mh Rais na kwa upande wa EL . Kukubali na kutambua maamuzi ya wengi, lakini pia si kila nafasi unayoipta kusimama kugongea unaitumia kumtukana na kumshambulia mtu, kwa ajili ya ku...
  4. O

    Bao la kisigino

    Siasa siyo uadui, wanasiasa waelimisheni wafuasi wa vyama vyenu
  5. O

    Bundi atua CUF: Prof. Lipumba, Sakaya, Mbunge wa Mtwara mjini na wengine wasimamishwa uanachama

    CUF siyo wakati wa kutimuana, yafaa zaidi majadiriano na hekima busara,na uvumilivu viongoze katika hili
  6. O

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Mshana Jr, kwenye gari aina ya brevis pale kwenye gear kuna D4, 3, 2 na L naomba kueleweshwa matumizi tafadhari
  7. O

    Baada ya Ikulu kuwa chini ya Wamarekani:Sasa ipo uchi kabisa , sasa ni kuangalia bugs+kubadili mambo

    Nimecheka sana, eti hakuna radar inaweza kuona ndege kwa ft 400 /500, meli inakalia maji kwa ft ngapi? unaoneka na radar itakuwa ft 400! Tanzania tunayo radar ya kirusi p-15 ina uwezo huo
  8. O

    Wabunge wa CCM wagoma jioni hii kwa kisingizio cha kuwatetea walimu, Ndugai aahirisha Bunge

    Asante Mungu, yametumika kama kondomu sasa yametupwa hahahahaaaaa, ndiyo mjue rushwa nchi hii haiishi yaliahidiwa hicho kiwango kama rushwa yakapofuka
  9. O

    Watuhumiwa 19 wa ugaidi Turiani wakamatwa

    Kwa hiyo ulitaka wakae kariakoo? Mijini wanakuja kufanya yao na kuondoka
  10. O

    Nape amtaka Mbowe ajiuzulu, ameaibisha Upinzani

    Alitakatakiwa amuambie Pinda ajiuzuru , kwani yeye ndiye aliyetoa agizo wapigwe tu, leo atamuambiaje ajiuzuru yule anayetekeleza agizo?
  11. O

    Watangaza nia; wako kimya na hili.

    Utamuonaje wakati huoni
  12. O

    Samweli John Sitta: Sioni mgombea wa urais wa kupambana na ufisadi mpaka sasa

    Sita huwezi kupambana na ufisadi, wakati umepitisha katiba isiyokuwa na maaadili ya viongozi
  13. O

    Uteuzi wa naibu katibu mkuu CCM Bara: Mgogoro wa waraka na sheria ya utumishi wa Umma

    Kama kweli haya yanafanyika na sheria inazuia au inakataza, wanasheria wetu wako wapi? Kwanini walisoma? Kama wapo kwa nini wasichukue hatua za kisheria
Back
Top Bottom