Recent content by obege

  1. obege

    Maneno maarufu secondary za bweni

    uzinduzi- kunywa chai na kiporo cha ubwaba
  2. obege

    Hili tukio la ajabu sana kulishuhudia

    duuh ya walimwengu magumu
  3. obege

    Hizi ndio Tabia za Mwanamke anaekupenda

    hahaha yatakufata hukohuko
  4. obege

    Kuna tofauti gani kati ya Zahanati, Kituo cha Afya, Hospitali ya Rufaa?

    Hapana, mfano nyanda za juu kusini (Iringa, Njombe, Mbeya) hosipitali ya rufaa ni Mbeya RUFAA
  5. obege

    Uhuni wa Hospitali ya Jeshi Lugalo

    hizi hosipitali zinazohudumiwa na hawa watu inabidi tuwe makini sana, wengi wa wahudumu wanaenda kusomea wakisha kua jeshini kwaajili ya kua kitengoni lakini sio experts, mimi nimeshakutana na shida kama mara mbili, nimeandikiwa dawa na doctor kwaajili ya mtoto, naenda Pharmacy uzuri nako...
  6. obege

    Mpaka sasa, Waziri wa Mambo ya Ndani (Kangi Lugola) ameshafeli

    uzalendo na ubunifu utakao kuza viwanda vyao vya vyerehani
  7. obege

    Mpaka sasa, Waziri wa Mambo ya Ndani (Kangi Lugola) ameshafeli

    tena comedian mzuri sana akiwa pamoja na Hashim Rungwe huku kwenye siasa sio kwao wanaua kipaji
  8. obege

    Mauaji ya mtoto wangu

    Mungu akutie Nguvu, lakini hao upande wa mama mtoto walifanya kosa sana kukunyanyasa kupitia ndugu yao police maana hapakua na kosa la kukupeleka wewe huko lakini Mungu ndio hakimu anae hukumu kwa haki ipo siku yao
  9. obege

    Fursa gani zinadharauliwa lakini zinaweza kukutoa kimaisha?

    asante mkuu hapo mwisho umemalizia vyema kabisa
Back
Top Bottom