hizi hosipitali zinazohudumiwa na hawa watu inabidi tuwe makini sana, wengi wa wahudumu wanaenda kusomea wakisha kua jeshini kwaajili ya kua kitengoni lakini sio experts, mimi nimeshakutana na shida kama mara mbili, nimeandikiwa dawa na doctor kwaajili ya mtoto, naenda Pharmacy uzuri nako...