Uhuni wa Hospitali ya Jeshi Lugalo

Uhuni wa Hospitali ya Jeshi Lugalo

Status
Not open for further replies.
huyo Dokta anayetumia watoto kufanya mazoezi ya kuuga mifupa yafaa afukuzwe kazi mara moja pengine ana vyeti feki
Asipofanya mazoezi kwa watu akafanyie wap?

Tutangeneza vipi madaktari wapya kama watakuwa hawafanyi mazoezi kwa watu

Tatizo hapo sio mazoezi ni mfumo na incompetence ya huyo mtu

Kama anajifunzameans anafanya kazi chini ya uangalizi
 
Mkuu kwanza wewe una tatizo

Unakutana na mtu zaidi ya mmoja analalamikia tatizo lile lile bado unampeleka mgonjwa wa shida ile ile

Tukikuita mpumbavu tutakuwa tumekosea?
Usiniite mpumbavu Ndugu Jimmy. ungeuliza mazingira yalikuwaje jioni na mtoto ana maumivu pia . kuhukumu kunahitaji busara.
 
Karibia hospital zote Tanzania madoctor wa mifupa ni magumashi sana kuna mwingine alivunjika mguu wakaunga vibaya, ikamlazimu aende kenya kwenda kuurekebisha
 
Mwenge ni Nayo ni Lugalo kitengo cha watoto
Ok, mbona wanaonekana kuwa hopeless! Kuna daktari aliniambia kuwa CO aliokuwa anawafanyisha mtihani ni majanga, bure kabisa kichwani, ni risk kuwahudumia wagonjwa. Naanza kuamini
 
Ok, mbona wanaonekana kuwa hopeless! Kuna daktari aliniambia kuwa CO aliokuwa anawafanyisha mtihani ni majanga, bure kabisa kichwani, ni risk kuwahudumia wagonjwa. Naanza kuamini
Lugalo (Mwenge) kuanzia mapokezi wapo ovyo.Wale wanaoandikisha mapokezi sijui kama wanajua kusoma na kuandika vizuri
 
Kwa mtazamo wangu naona kama kuna ukweli na chumvi kidogo. Sitaki kuamini kuwa watoto wote hao wawe malunion tena siku moja?? Lakini pia kila idara na hosp yoyote ile kuna uongozi wa kulalamika maana huo ni wizi na kubwa uuaji maana huwezi chezea afya kiasi hicho na bado eti mnakaa tu kuangalia na kuja kulalamika mtandaoni. Unalea tatizo anza kwa kutoa concern yako pale pale hosp kwny uongozi kisha hata unapoenda kusue iwe rahisi
 
Kwa mtazamo wangu naona kama kuna ukweli na chumvi kidogo. Sitaki kuamini kuwa watoto wote hao wawe malunion tena siku moja?? Lakini pia kila idara na hosp yoyote ile kuna uongozi wa kulalamika maana huo ni wizi na kubwa uuaji maana huwezi chezea afya kiasi hicho na bado eti mnakaa tu kuangalia na kuja kulalamika mtandaoni. Unalea tatizo anza kwa kutoa concern yako pale pale hosp kwny uongozi kisha hata unapoenda kusue iwe rahisi
Learn how to wear other peoples shoes. nilichoandika ndio ukweli. malalamiko nilipeleka nikajibiwa watarudia bure. unatetea kama una maslahi fulani????? ngoja yakufike.
 
Usiniite mpumbavu Ndugu Jimmy. ungeuliza mazingira yalikuwaje jioni na mtoto ana maumivu pia . kuhukumu kunahitaji busara.
kuitwa mpumbavu ni haki yako, wewe umekutana na watu 2+ wanakuelezatatizo hilo hilo na wewe unakimbilia huko huko. mbona sasa unaenda muhimbili? kwanini usingeenda baada ya kuona dalili za tatizo
 
Jambo la kujiuliza hao madakitari wa Lugalo ni experts wa hizo fani? au ni clinical officers wa jeshi waliosoma ukumbwani kutowa huduma ya kwanza kwewezao incase ya emergence.
hizi hosipitali zinazohudumiwa na hawa watu inabidi tuwe makini sana, wengi wa wahudumu wanaenda kusomea wakisha kua jeshini kwaajili ya kua kitengoni lakini sio experts, mimi nimeshakutana na shida kama mara mbili, nimeandikiwa dawa na doctor kwaajili ya mtoto, naenda Pharmacy uzuri nako nikamkuta doctor alishangaa sana kipimo alichoandikiwa mtoto kwa aina ile ya dawa.
 
mtoa taarifa kosa ni la aliyeunga mkono wew kusema "uhuni wa hospitali ya jeshi lugalo” sio sahihi kabisa na unaichafua hospital hiyo na jeshi kwa ujumla..
kuwa makini na kauli zako
 
Swali kwa mleta mada-Je hapo lugalo walitibiwa watoto watatu tu wenye tatizo la mifupa?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom