Poleni na majukumu. Nasikitika kuwafahamisha kwamba wakazi wa Kibaha (Mgongelwa) Tanita hatuna maji leo ni siku ya kumi. Nimejaribu njia nyingi za mawasiliano (sijaendo ofisini kwenu) zimefeli.
Aidha simu hazipatikani au zinaita bila ya kupokelewa. Hali ni mbaya na inaelekea kuwa mbaya zaidi...
Amechaguliwa kwenda chuo. Anasema hapana. Anatpenda aendelee na kidato cha tano kwa mchepuko wake uleule wa masomo ya sayansi. Wapi nigeukie ili nisaidiwe?
Duh! Sasa naona waTZ wanaona mbali mno! Hivi huu ulaji tunaupatia dawa gani hasa ili tuutumie muda wetu adhimu kwa mambo chanya? Kwa kauli moja, nini kifanyike sasa !
Hapa kuna neno. Watanzania kwa sasa tupo njia panda. Mali ni yetu wote, iweje wachache wanufaike, tena kisheria? Nani kapitisha sheria hizi. Yapo mwswali mengi na majibu yake yanaweza kuleta ukakasi usio wa lazima. Serikali ipunguze usiri na iyaanike maovu haya yawe dhambi kwa mwengine ayakaye...
Mimi nashangazwa na kitu moja. Kwa nini watu wanaamua kufanya vitendo viovu kwa kujiweka katika mwamvuli wa kutenda watendayo leo eti kwa manufaa ya baadae?
Kazi ipo! Mpaka askari anapandishwa vyeo na kufikia inspector lazima alikuwa na "sponsor". "sponsor" anasalimika? Karibuni uraiani lakini uwe mpole tu, huna jinsi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.