TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,810
Ndugu John Marandu (59) alikuwa Mwandishi wa RTD na Baadaye Kuwa Mwandishi wa ITV na Redio one. Na Baadaye ITV ilipoanza Kituo Arusha alikuwa Mkuu wa Kituo mpaka alipopishana Kauli na Mwajiri wake.
John Marandu, Pia alikuwa Diwani wa Katangara Wilayani Rombo kupitia CCM, Marehemu alikutwa amefariki katika Nyumba ya kulala Wageni huko Magu Mkoani Mwanza. Ameacha Mke na Watoto wawili.
RIP John Marandu
John Marandu, Pia alikuwa Diwani wa Katangara Wilayani Rombo kupitia CCM, Marehemu alikutwa amefariki katika Nyumba ya kulala Wageni huko Magu Mkoani Mwanza. Ameacha Mke na Watoto wawili.
RIP John Marandu