Kwenye utumishi wa umma haitambuliki mpaka uoneshe cheti cha ndoa, kwenye mirathi inatambulika hata bila cheti wewe jichanganye uishi naye miaka miwili mfululizo halafu muachane uone mnavyogawana mali vizuri.
Wameweka neno "presumption of marriage" ili kwenye document za kiutumishi akose benefits za kuwa mke, lakini kwenye mambo ya kifamilia awe beneficiary hasa mambo ya urithi in case huyo aliyekuwa anaishi naye na kulala kitanda kimoja naye kwa miaka yote miwili amekufa maana kwa miaka hiyo miwili...
Ukiona mtu ana pesa ujue ana akili nyingi, maana kila mtu angependa awe na pesa nyingi ukitaka uwe na pesa fanya kazi zinazongiza kipato kwa bidii, usitumie fedha kwa mambo yasio ya lazima, halafu jifunze kuweka akiba. Kuna watu wanafanya kazi kwa bidii sana lakini kazi wanazozifanya...
Kwani tumboni kuna mifupa na misumari? Ungesema labda mtu anawe miguu na mikono kwa pepsi akipata madhara kwenye ngozi au kwenye nyama ndio uwe na haki ya kutoa conclusion, sasa mifupa na misumari wapi na wapi ..!!
Kwa kawaida mtu mwenye akili ndogo hawezi kuelewa kitu ambacho hakakiona kwa macho, kuamini kwamba Mungu yupo ni kuiruhusu akili ione badala ya macho. Mtu mwenye akili ya kawaida husubiri macho yapige picha ya kitu yapeleke hiyo picha kwenye ubongo kwa ajili ya kukitambua. Lakini mtu mwenye...
Bila shaka hapingi uwepo wa Mungu ila ameshindwa kabisa kuelewa kama Mungu yupo yaani imemuwia vigumu kuweza kuelewa kitu ambacho hajakiona kwa macho. Anajua kwamba magari, majumba, nk, yapo kwa sababu ameyaona kwa macho.
Kuamini ni kazi ngumu na yenye kutumia akili nyingi zaidi kuliko kufikiri maana kufikiri kuna ukomo kutegemea uwezo wa ubongo. Lakini kuamini kwa dhati ni kushughulika na kitu ambacho hakionekani kwa macho (invisible), hakigusiki (intangible), hakiingii akilini, hakisikiki (inaudible), yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.