Hapa umedhihirisha akili yako ni finyu. Tunaposema adui wa nchi hi Ni ccm, ndio tunazungumzia ujumla, ikiwa ni pamoja na uliyemtaja & co; pamoja na wewe na wajinga na wanafiki wengine & co. Huwezi kusema ccm sio mbaya, eti ni baadhi ya wanaccm ndio wabaya. Ccm ni mkusanyiko was fisi- walafi...
Not mesoma tu kichwa Cha habari. Kusema rais amejenga mradi fulani ni ujinga wa kiwango cha juu sana. Miradi inajengwa kutokana na kodi tunazolipa sisi wananchi. Rais ni mtumishi kama watumishi wengine, na anatekeleza majukumu ya ofisi yake kwa mujibu was sheria, na miradi inayotekelezwa sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.