mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,763
- 35,201
RIP Hayati Hamza.
Hamza ameondoka duniani kwa njia ya mbaya sana na ya kusikitisha
Tujifunze kuwasaidia ndugu zetu kwa kuwajengea afya ya akili wakiwa hai
RIP Hayati Hamza.
Sema mnyonge aliyeonewaKatika pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii na kwenye spaces za Twitter zinazoendelea sasahivi za wanaharakati na wanasiasa wa vyama vya upinzani, nimeshtushwa sana na namna viongozi na wanaharakati wa upinzani wanavyomuunga mkono gaidi Hamza aliyeua Watanzania wenzetu 4 na kuwajeruhi watu wengine 6.
Nimeshangaa kuwaona watu wanaojigamba kuipenda nchi hii kama akina Lema, Fatma Karume, Mbatia na wenzao kumshadadia Hamza na kuonyesha kumuunga mkono kana kwamba kafanya jambo la maana na lenye tija kwa nchi. Leo Hamza anapata uungwaji mkono na watu wa upinzani kwa sababu ya kuua askari na Watanzania na kujeruhi wengine. Hii ni aibu na najisi kwa nchi.
Cha kushangaza watu hawa wa upinzani wanamshadadia Hamza kwa kushikilia maneno ya kubumba ya mitandaoni kwamba Hamza alidhulumiwa na polisi. Sasa kama Hamza alidhulumiwa kama wanavyobumba, njia ya kupata haki kwenye nchi hii ni kuchukua bunduki na kuanza kufyatulia watu?
Viongozi na wanaharakati wa upinzani mnaomshadadia na kumsapoti Hamza mnajiabisha sana mbele ya Watanzania na sasa mnajidhihirisha mbele za umma jinsi msivyolitakia mema Taifa hili.
Watu mnaojigamba mnaipenda nchi hii leo mnaibuka kumuunga mkono mtu aliyeleta taharuki kwa nchi, mtu aliyepeleka simanzi na umaskini kwa kuua Watanzania wenzetu ambao walikuwa wanategemewa na familia zao na Jamii yetu halafu nyie mnamuunga mkono kwa hoja nyepesi na za kusikia tu kwenye mitandao kwamba eti Hamza alidhulumiwa. Wapinzani mnajiaibisha sana mbele za Watanzania.
Hi kauli ilitolewa na mtu mwenye akili timamu?● Mnajitapa kwenye mikutano ya hadhara kwamba askari polisi wa CCM hawakosi risasi zaidi ya mbili, wakikosa basi hao sio askari?
Kama njia ya kupata haki kupitia bunduki mlikuwa mnaiona kwenye tv sasa imewafikia tulieni,acheni dhuluma hamza naye ni binadamuKatika pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii na kwenye spaces za Twitter zinazoendelea sasahivi za wanaharakati na wanasiasa wa vyama vya upinzani, nimeshtushwa sana na namna viongozi na wanaharakati wa upinzani wanavyomuunga mkono gaidi Hamza aliyeua Watanzania wenzetu 4 na kuwajeruhi watu wengine 6.
Nimeshangaa kuwaona watu wanaojigamba kuipenda nchi hii kama akina Lema, Fatma Karume, Mbatia na wenzao kumshadadia Hamza na kuonyesha kumuunga mkono kana kwamba kafanya jambo la maana na lenye tija kwa nchi. Leo Hamza anapata uungwaji mkono na watu wa upinzani kwa sababu ya kuua askari na Watanzania na kujeruhi wengine. Hii ni aibu na najisi kwa nchi.
Cha kushangaza watu hawa wa upinzani wanamshadadia Hamza kwa kushikilia maneno ya kubumba ya mitandaoni kwamba Hamza alidhulumiwa na polisi. Sasa kama Hamza alidhulumiwa kama wanavyobumba, njia ya kupata haki kwenye nchi hii ni kuchukua bunduki na kuanza kufyatulia watu?
Viongozi na wanaharakati wa upinzani mnaomshadadia na kumsapoti Hamza mnajiabisha sana mbele ya Watanzania na sasa mnajidhihirisha mbele za umma jinsi msivyolitakia mema Taifa hili.
Watu mnaojigamba mnaipenda nchi hii leo mnaibuka kumuunga mkono mtu aliyeleta taharuki kwa nchi, mtu aliyepeleka simanzi na umaskini kwa kuua Watanzania wenzetu ambao walikuwa wanategemewa na familia zao na Jamii yetu halafu nyie mnamuunga mkono kwa hoja nyepesi na za kusikia tu kwenye mitandao kwamba eti Hamza alidhulumiwa. Wapinzani mnajiaibisha sana mbele za Watanzania.
Tunashukuru tu hiyo afya ya akili ya Hayati Hamza haikuleta madhara kwa raiya wema waliokua eneo la tukio.Hamza ameondoka duniani kwa njia ya mbaya sana na ya kusikitisha
Tujifunze kuwasaidia ndugu zetu kwa kuwajengea afya ya akili wakiwa hai
Tunashukuru tu hiyo afya ya akili ya Hayati Hamza haikuleta madhara kwa raiya wema waliokua eneo la tukio.
Thibitisha haya uliyoyasema isije ikawa na ww ndio wale wanaosikia tu kama wengine mkuuTurudi kwenye hao askari wako watanzania unaosema;
● Mbona askari wakitu bambikiza kesi hamuongei?
● Askari wamekua wote wanachama wa chama cha siasa, wanachama wa CCM, mbona hamuongei?
● Wakituomba rushwa mnasema ni hela za kusafishia viatu?
● Wakitu bambikiza makosa barabarani mnasema nchi haina hela kwaajili ya miradi?
● Wakipiga watu na kujeruhi bila sababu mnasema ndio kazi yao?
● Mnajitapa kwenye mikutano ya hadhara kwamba askari polisi wa CCM hawakosi risasi zaidi ya mbili, wakikosa basi hao sio askari?
● Wakipigana risasi na kuuwana wao kwa wao kwa kugombania siti ya mbele kwenye gari, mnasema walikua wanakimbiza wauza madawa ya kulevya?
Sentensi yako ya mwsho nimecheka sana aiseeTurudi kwenye hao askari wako watanzania unaosema;
● Mbona askari wakitu bambikiza kesi hamuongei?
● Askari wamekua wote wanachama wa chama cha siasa, wanachama wa CCM, mbona hamuongei?
● Wakituomba rushwa mnasema ni hela za kusafishia viatu?
● Wakitu bambikiza makosa barabarani mnasema nchi haina hela kwaajili ya miradi?
● Wakipiga watu na kujeruhi bila sababu mnasema ndio kazi yao?
● Mnajitapa kwenye mikutano ya hadhara kwamba askari polisi wa CCM hawakosi risasi zaidi ya mbili, wakikosa basi hao sio askari?
● Wakipigana risasi na kuuwana wao kwa wao kwa kugombania siti ya mbele kwenye gari, mnasema walikua wanakimbiza wauza madawa ya kulevya?
Usikubali kuongozwa na hisia zako mkuu utapoteza mwelekeoKwani uongo kuwa polisi ni wezi, majambazi na wanabambikia watu kesi za uongo?
Hamza ameondoka kishujaa. Na ujumbe alioukusudia, umefika ipasavyo!Hamza ameondoka duniani kwa njia ya mbaya sana na ya kusikitisha
Tujifunze kuwasaidia ndugu zetu kwa kuwajengea afya ya akili wakiwa hai
Kama chadema wakichukua nchi policcm watabadirika kuwa polischadema au watafukuzwa wote?Turudi kwenye hao askari wako watanzania unaosema;
● Mbona askari wakitu bambikiza kesi hamuongei?
● Askari wamekua wote wanachama wa chama cha siasa, wanachama wa CCM, mbona hamuongei?
● Wakituomba rushwa mnasema ni hela za kusafishia viatu?
● Wakitu bambikiza makosa barabarani mnasema nchi haina hela kwaajili ya miradi?
● Wakipiga watu na kujeruhi bila sababu mnasema ndio kazi yao?
● Mnajitapa kwenye mikutano ya hadhara kwamba askari polisi wa CCM hawakosi risasi zaidi ya mbili, wakikosa basi hao sio askari?
● Wakipigana risasi na kuuwana wao kwa wao kwa kugombania siti ya mbele kwenye gari, mnasema walikua wanakimbiza wauza madawa ya kulevya?
Ukikua utayaona kwa sasa endelea kunywa mtori!Usikubali kuongozwa na hisia zako mkuu utapoteza mwelekeo
Sent from my OE106 using JamiiForums mobile app
Wazazi pia msizae mtoto kama huyu aliyeleta hii madaKatika pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii na kwenye spaces za Twitter zinazoendelea sasahivi za wanaharakati na wanasiasa wa vyama vya upinzani, nimeshtushwa sana na namna viongozi na wanaharakati wa upinzani wanavyomuunga mkono gaidi Hamza aliyeua Watanzania wenzetu 4 na kuwajeruhi watu wengine 6.
Nimeshangaa kuwaona watu wanaojigamba kuipenda nchi hii kama akina Lema, Fatma Karume, Mbatia na wenzao kumshadadia Hamza na kuonyesha kumuunga mkono kana kwamba kafanya jambo la maana na lenye tija kwa nchi. Leo Hamza anapata uungwaji mkono na watu wa upinzani kwa sababu ya kuua askari na Watanzania na kujeruhi wengine. Hii ni aibu na najisi kwa nchi.
Cha kushangaza watu hawa wa upinzani wanamshadadia Hamza kwa kushikilia maneno ya kubumba ya mitandaoni kwamba Hamza alidhulumiwa na polisi. Sasa kama Hamza alidhulumiwa kama wanavyobumba, njia ya kupata haki kwenye nchi hii ni kuchukua bunduki na kuanza kufyatulia watu?
Viongozi na wanaharakati wa upinzani mnaomshadadia na kumsapoti Hamza mnajiabisha sana mbele ya Watanzania na sasa mnajidhihirisha mbele za umma jinsi msivyolitakia mema Taifa hili.
Watu mnaojigamba mnaipenda nchi hii leo mnaibuka kumuunga mkono mtu aliyeleta taharuki kwa nchi, mtu aliyepeleka simanzi na umaskini kwa kuua Watanzania wenzetu ambao walikuwa wanategemewa na familia zao na Jamii yetu halafu nyie mnamuunga mkono kwa hoja nyepesi na za kusikia tu kwenye mitandao kwamba eti Hamza alidhulumiwa. Wapinzani mnajiaibisha sana mbele za Watanzania.
Swali zuri sana hili.Huyo marehemu shujaa Hamza alikua kada kiongozi ndani ya CCM wapinzani wanaingiaje hapo
UpupuuuKatika pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii na kwenye spaces za Twitter zinazoendelea sasahivi za wanaharakati na wanasiasa wa vyama vya upinzani, nimeshtushwa sana na namna viongozi na wanaharakati wa upinzani wanavyomuunga mkono gaidi Hamza aliyeua Watanzania wenzetu 4 na kuwajeruhi watu wengine 6.
Nimeshangaa kuwaona watu wanaojigamba kuipenda nchi hii kama akina Lema, Fatma Karume, Mbatia na wenzao kumshadadia Hamza na kuonyesha kumuunga mkono kana kwamba kafanya jambo la maana na lenye tija kwa nchi. Leo Hamza anapata uungwaji mkono na watu wa upinzani kwa sababu ya kuua askari na Watanzania na kujeruhi wengine. Hii ni aibu na najisi kwa nchi.
Cha kushangaza watu hawa wa upinzani wanamshadadia Hamza kwa kushikilia maneno ya kubumba ya mitandaoni kwamba Hamza alidhulumiwa na polisi. Sasa kama Hamza alidhulumiwa kama wanavyobumba, njia ya kupata haki kwenye nchi hii ni kuchukua bunduki na kuanza kufyatulia watu?
Viongozi na wanaharakati wa upinzani mnaomshadadia na kumsapoti Hamza mnajiabisha sana mbele ya Watanzania na sasa mnajidhihirisha mbele za umma jinsi msivyolitakia mema Taifa hili.
Watu mnaojigamba mnaipenda nchi hii leo mnaibuka kumuunga mkono mtu aliyeleta taharuki kwa nchi, mtu aliyepeleka simanzi na umaskini kwa kuua Watanzania wenzetu ambao walikuwa wanategemewa na familia zao na Jamii yetu halafu nyie mnamuunga mkono kwa hoja nyepesi na za kusikia tu kwenye mitandao kwamba eti Hamza alidhulumiwa. Wapinzani mnajiaibisha sana mbele za Watanzania.
Aliitoa Rais SSH katika mkutano wa hadhara za campaign, wakati akiongelea swala la Tundu Lissu kupigwa risasi, akasema kwamba ingekua ndio askari wametaka kumpiga risasi Tundu Lissu basi wasingempiga risasi 32, wao ni risasi moja au mbili tu. Hawana hulka ya kukosa shabaha.Hi kauli ilitolewa na mtu mwenye akili timamu?
Katika pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii na kwenye spaces za Twitter zinazoendelea sasahivi za wanaharakati na wanasiasa wa vyama vya upinzani, nimeshtushwa sana na namna viongozi na wanaharakati wa upinzani wanavyomuunga mkono gaidi Hamza aliyeua Watanzania wenzetu 4 na kuwajeruhi watu wengine 6.
Nimeshangaa kuwaona watu wanaojigamba kuipenda nchi hii kama akina Lema, Fatma Karume, Mbatia na wenzao kumshadadia Hamza na kuonyesha kumuunga mkono kana kwamba kafanya jambo la maana na lenye tija kwa nchi. Leo Hamza anapata uungwaji mkono na watu wa upinzani kwa sababu ya kuua askari na Watanzania na kujeruhi wengine. Hii ni aibu na najisi kwa nchi.
Cha kushangaza watu hawa wa upinzani wanamshadadia Hamza kwa kushikilia maneno ya kubumba ya mitandaoni kwamba Hamza alidhulumiwa na polisi. Sasa kama Hamza alidhulumiwa kama wanavyobumba, njia ya kupata haki kwenye nchi hii ni kuchukua bunduki na kuanza kufyatulia watu?
Viongozi na wanaharakati wa upinzani mnaomshadadia na kumsapoti Hamza mnajiabisha sana mbele ya Watanzania na sasa mnajidhihirisha mbele za umma jinsi msivyolitakia mema Taifa hili.
Watu mnaojigamba mnaipenda nchi hii leo mnaibuka kumuunga mkono mtu aliyeleta taharuki kwa nchi, mtu aliyepeleka simanzi na umaskini kwa kuua Watanzania wenzetu ambao walikuwa wanategemewa na familia zao na Jamii yetu halafu nyie mnamuunga mkono kwa hoja nyepesi na za kusikia tu kwenye mitandao kwamba eti Hamza alidhulumiwa. Wapinzani mnajiaibisha sana mbele za Watanzania.