Recent content by Nzambe na Ngai

  1. N

    JamiiForums Tanzania Hivi ni simu gani model ya Samsung galaxy nzuri yenye uwezo wa kupiga picha, kuitumia kama CCTV

    Hivi ni simu gani model ya Samsung galaxy nzuri yenye uwezo wa kupiga picha, kuitumia kama cctv na mambo mengine kama hayo? Bei yake ni she ngapi? Naomba kujua kwa anayeelewa please.
  2. N

    JamiiForums Tanzania Kwanini kampuni ya Maboto haina Application Number ya mkopo katika mfumo wa ESS

    Ile ni kampuni ya kihuni. Haina leseni ya BOT, ndiyo maana hawauzi madeni. Mie wamenikera miaka miwili naomba balance wanarukaruka tu. Tena makao makuu Yao si pale Mwanza nadhani nyegezi. Wahuni tu. Yule anayejifanya meneja wao ukimpigia simu hata Sasa hivi anasema ametoka kikazi Yuko Arusha na...
  3. N

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kutumia mfumo wa utumishi Ess na PEPMIS

    Umeongea bila kufikiri. Kila mwalimu Kwa Sasa ana iPad, ndipo walipewa mwongozo wa kutumia ess, kubwa zaidi mwl. Ndiye mtu pekee ana uwezo wa kuutumia mfumo huu kwani yeye ndiye mwenye account na kila kimoja kwenye mfumo. Kubwa zaidi anazishikilia ajili za wengi. Huoni kuwa tayari umeropoka?
  4. N

    JamiiForums Tanzania Ugomvi na mke wangu kila nikipata pesa

    Kwanza Pole sana kwa changamoto hiyo lakini hongera kwa kuwa na familia ambayo kijamii ni kipimo cha hekima uliyo nayo na hongera kwa kuwa na kipato japo pengine si kile ulichokihitaji ,lakini yote ni kumshukuru Allah. Ushauri; Kama umemsoma ukagundua mwenzio anakuwa mchungu , endelea kufanya...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Magessa Mlongo yuko wapi?

    Nilimtaja day 1 katika kilinge cha kahawa mtaa Fulani hivi zikatoka zinazisema alishawahi kule makao makuu ya wanaoacha kuishi.
  6. N

    JamiiForums Tanzania Upakiaji abiria ulipitiliza wa basi la mumuk, arusha - bukoba - karagwe leo jumamosi - 27 Aug 2022

    Wana jamii forum habari za wakati huu,, kwema huko? Naomba kuuliza maswali mawili kwenu, mwenye utambuzi juu yake nisaodie. Quen.1. Nimeona Lory Fuso fighter lenye plate number nyeupe. Je nayo upo uwezekano wa kupata plate number nyeupe? Maana nilizoea kuona plate number za namna hiyo...
  7. N

    JamiiForums Tanzania Nissan X-Trail mpya

    Umegundua kitu pia ee? Ndiyo raha ya JF. Akija mtu na ujanja anawakuta humu zaidi yake
  8. N

    JamiiForums Tanzania Nissan X-Trail mpya

    Asanteni sana kuna nilichojifunza kuhusu x trail.
  9. N

    JamiiForums Tanzania Gari zuri kati ya Subaru Forester, Toyota rumion, Nissan x-trail

    Wakubwa habari za jioni? Poleni na majukumu pia hongereni kwa kazi. Kubwa zaidi Naomba anayejua anisidie hapa. Nauliza lipi ni gari zuri,bora na imara kati ya Subaru Forester, Toyota rumion, Nissan x-trail,. Upatikanaji wa spare, nakadhalika kwa matumizi binafsi Kama vile kwenda kazini. Pia...
  10. N

    JamiiForums Tanzania Utetezi wa Sabaya: Amwangushia zigo Hayati Magufuli na kudai Gavana Luoga na Makamu wa Rais Dkt. Mpango walifahamu

    Yeyr aligeuka kuwa Kama yule malaika wa Mungu mkuu ambaye alilewa madaraka akaanza kuyatumia vibaya. Kama alitumwa akakamata mtambo wa kuunda fedha banfia hilo Ni jema Kosa lake ni kuamua kuiba baada ya kumkosa mtuhumiwa aliyeelekezwa kumkamata. Kakiri kosa, kasema aliyoyafanya ni mengi ya...
  11. N

    JamiiForums Tanzania Uingereza yaondoa vikwazo vyote vya COVID-19

    Huyo alikwishamaliza akiba ya maneno. Miaka yapata 20 anapiga upatu bila break wala malengo. Itakuwa hana jipya kwa sasa.
  12. N

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Chanjo ya COVID-19 iwe ya lazima

    Mb Mbowe na elimu zake amefika wakati amepwaya sababu yeye asichukulie Ni mwelewa kuliko watanzania tulio baki. Akachanje familia yake ndipo aje kusema kwa niaba ya walio tayari na siyo wananchi. Akanywe mifaru John yake huko.
  13. N

    JamiiForums Tanzania Aliyemnyonga mtoto wa mwaka mmoja Arusha asema sio tukio lake la kwanza

    Nashauri binti huyo wa kazi asiachiwe na uchunguzi dhidi ya tukio hilo uendeleee maana inaonekana ana habari kubwa zaidi ambazo kama akihojiwa sawasawa anaweza kutoa maelezo ambayo yatatusaidia kupambana na wahalifu wa namna hiyo
Back
Top Bottom