Nzambe na Ngai
Member
- Apr 6, 2019
- 19
- 11
Nashauri binti huyo wa kazi asiachiwe na uchunguzi dhidi ya tukio hilo uendeleee maana inaonekana ana habari kubwa zaidi ambazo kama akihojiwa sawasawa anaweza kutoa maelezo ambayo yatatusaidia kupambana na wahalifu wa namna hiyo
Duuh Mungu amuweke salama mtoto