Recent content by nzaghamba

  1. nzaghamba

    Mdudu anayesumbua dunia hasa Africa

    The image displays a Hickory Horned Devil, which is the caterpillar stage of the Regal Moth (Citheronia regalis), also known as the Royal Walnut Moth. Appearance: These caterpillars are large, growing up to nearly 6 inches long, and are characterized by prominent, spiky "horns". Harmless...
  2. nzaghamba

    Urgent - Natafuta kiwanja Dar

    serious...!Airnb chamazi,chanika?
  3. nzaghamba

    Serikali itoe adhabu Kali, wanaume wanaoshika Maungo ya wanawake hadharani kwenye maeneo ya Umma kama Sokoni na Stendi

    cc Dkt. Gwajima D inasikitisha na kuhuzunisha sana swala hili linatakiwa lipigiwe kelele na jamii yote,wanawake waheshimiwe na walindwe kwa wivu mkubwa sana,hata hivyo ninavyojua kwa uelewa wangu mdogo kufanya hivyo kisheria ni shambulio la aibu na adhabu yake siyo kama ulivyosema kwamba...
  4. nzaghamba

    Nina miaka mitano sijala UGALI

    ugali wa wazee wetu ulikuwa wa dona,na hakukua na kuku wasiowika wala mayai yasiyorutubishwa
  5. nzaghamba

    Ni huzuni kuona jitu zima na akili zake lina-fall in love kama litoto

    kwani wasukuma tuliwakosea nini ninyi wazaramo!?
  6. nzaghamba

    Tetesi Mama mzazi wa Rais wa Mamlaka ya Palestina, Mahmoud Abbas, ni Myahudi

    swali nje ya mada kidogo,hivi wayahudi ni dini au kabila
  7. nzaghamba

    Jamani nimeyakoroga naomba ushauri

    nilishawahi kusikia msemo unasema "haiombwagi hivyo" lakini vilevile mdogo wa mkeako hakitumia busara kumwambia nduguye unless otherwise anataka wafanane naye(naye akose ndoa)
  8. nzaghamba

    BASATA mmekuwa zaidi ya mizigo! Eti wimbo Oscar Oscar 'Mniombee' upigwe saa Sita Usiku na ushasambaa

    mbona hii imekaa vizuri sana,kuliko wangeufungia kabisa bora wameuruhusu walau kwa taratibu maalum,ndiyo maana hata kwa wenzetu vipindi vyote vya radio na televisheni vina maelekezo ya umri wa kusikiliza au kuangalia...good move!
Back
Top Bottom