Ila mmeamua kupotosha dhabiti sijui kwa faida ya nani, hichi mnachokifanya kukashifu dini za wenzenu gharama yake ni kubwa sana kuliko unavyoona raha kuandika na kushabikiwa... Uislamu unahesabu utupu wa mwanaume magotini mpaka kitovu, hiyo narration imemalizia kueleza hakuwa amevaa nguo ya juu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.