Yote yanawezekana, ukiangalia nafasi yake ya kusiasa ndani ya ccm, matarajio walio kua nayo wafuasi wake, namna serikali inavyoendeshwa kwa sasa, pamoja na namna wengi wanavyo muelezea juu ya hulka zake alafu ukaunganisha na izoo post! unaweza ukapata tafsi hata kama ni kwa asilimia chini ya...
Tafsiri ya picha za namna hii hua inapatikana kutokana na mtu alieipost, wakati pamoja na nafasi yake katika jamii. Nini kimemfanya akapost?. kabla ya kupost alipata wazo! Post yake inaonyesha kinacho tawala mind yake kwa sasa.
Mkuu,
Kifupi nikwamba, rice beer itakua ni new product katika nchi yetu, watu walio bobea kwenye maswala ya marketing watakusaidia namna ya kufanya product penetration na mengine ya kufanana na hayo uweze kuuza.product yako.
Rice beer inawezekana kutengenezeka pale utakapo shirikiana na...
Kuna kitu kama kidot vile au kiupele ambacho hua tunaota sehem mbalimbali za mwili, Hua vinaota vyenyewe na wakati mwingine hua vinakuja kupotea vyenyewe. Hivi hua ukijaribu kuviondoa au ukakikata kinatoa damu sana. Kikiota sehemu ya katikati ya uke/uume na mk*nd hua kana madhara katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.