Taifa la pwagu na pwaguzi?

Taifa la pwagu na pwaguzi?

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,320
Reaction score
117,653
Sisi kweli ni kama taifa la pwagu na pwaguzi....
yaani nchi nzima imesimama kufuatia mgomo wa madereva
watu wameshindwa kusafiri...wagonjwa na wafiwa achilia mbali biashara zilizo simama

halafu anakuja waziri anasema 'serikali halilitambui agizo la mkuu wa chuo cha usafirishaji'

sasa kama huyu mkuu wa chuo agizo lake halitambuliwi ilikuwaje
jeshi la polisi lishinikize hao madereva walitii hilo agizo?

na je maagizo ya nyuma waliyokuwa wanayatii je? serikali iliyatambua?

je hatua gani zitachukuliwa kwa mtu huyu kutoa maagizo ambayo serikali haiyatambui?

je kwingine kote ambako maagizo yanatolewa kila mara wananchi wanajuaje hayo ni maagizo ya serikali au sio?


sasa haya yoote kama sio kuthibitisha 'taifa la pwagu na pwaguzi' ni nini?
 
Walikuwa wanapima upepo, wakaona umeambatana na radi na mvua ya mawe ikabidi wapotezee
 
Sisi kweli ni kama taifa la pwagu na pwaguzi....
yaani nchi nzima imesimama kufuatia mgomo wa madereva
watu wameshindwa kusafiri...wagonjwa na wafiwa achilia mbali biashara zilizo simama

halafu anakuja waziri anasema 'serikali halilitambui agizo la mkuu wa chuo cha usafirishaji'

sasa kama huyu mkuu wa chuo agizo lake halitambuliwi ilikuwaje
jeshi la polisi lishinikize hao madereva walitii hilo agizo?

na je maagizo ya nyuma waliyokuwa wanayatii je? serikali iliyatambua?

je hatua gani zitachukuliwa kwa mtu huyu kutoa maagizo ambayo serikali haiyatambui?

je kwingine kote ambako maagizo yanatolewa kila mara wananchi wanajuaje hayo ni maagizo ya serikali au sio?


sasa haya yoote kama sio kuthibitisha 'taifa la pwagu na pwaguzi' ni nini?

Wakilala wakiamka
Wanawaza jinsi ya kuzichota
Sasa watu wanaelimika
Wakihisi chenga wanastuka
Wamezinduka!
 
...hili ndo tatizo la watawala kutegemea nguvu za giza kuendesha nchi...
 
Wenzako tushayajua hayo zamaaani ndo maana tunaitaka Zanzibar yetu
 
Hili ndioTaifa la matahira na mazezeta,sizani kama duniani kuna nchi yenye viongozi na wananchi wajinga kama hii.
 
Jk cina hamu naye alipoepeleka hii nchi huwa nashangaa sana nilivyoona yule mama anaongea nilibaki nimeduwaa kumbe jamaa wamegoma kwa agizo la uongo pale angesema ni kwa nini huyo mkuu wa nit bd yupo kzini mpka sasa hivi kwa usumbufu huu mkubwa kwa taifa km sio yy waziri awajibike.mwisho wa siku wataitwa wazee pale diamond na mkaya ataanza jichekesha wabongo linapita hivi saisi watanzania tusio na akili ni nani aliyetulogaa.......
 
Jk cina hamu naye alipoepeleka hii nchi huwa nashangaa sana nilivyoona yule mama anaongea nilibaki nimeduwaa kumbe jamaa wamegoma kwa agizo la uongo pale angesema ni kwa nini huyo mkuu wa nit bd yupo kzini mpka sasa hivi kwa usumbufu huu mkubwa kwa taifa km sio yy waziri awajibike.mwisho wa siku wataitwa wazee pale diamond na mkaya ataanza jichekesha wabongo linapita hivi saisi watanzania tusio na akili ni nani aliyetulogaa.......


Ingekuwa nchi ya watu wenye akili unafikiri huyo mkuu wa chuo angethubutu?
 
Serikali inajiangusha yenyewe,sasa wananchi tumeanza kugundua kumbe UKISEMA HIKI SIFANYI NA UKAMAANISHA KUWA HAUFANYI BASI SERIKAL ITAKUBALIANA NA WEWE NA MAISHA YANAENDELEA.
 
Kwa Nmeshangaa sana kwa Kauli ile ya Waziri.Nchi hii kila mtu anaamua atakalo.

Sikutegemea Waziri atoe kauli nyepesi nyepesi km zile
 
Binafsi nimeshangazwa sana na tamko la waziri wa kazi.Ningekuwa huyo mkuu wa chuo kesho ningeitisha press conference na kuweka kila kitu hadharani na kujiuzulu nafasi hiyo.

Yale matamshi hayakuwa yakiungwana hata kidogo.
 
Serikali imemtoa kafara katka tamko lake. Pole sana Dr. Zakaria
 
Huoni hata kura ya maoni, walitaja wenyewe. Kuahirisha wamemwambia mwenyekiti wa tume. Maandai republic.
 
Sisi kweli ni kama taifa la pwagu na pwaguzi....
yaani nchi nzima imesimama kufuatia mgomo wa madereva
watu wameshindwa kusafiri...wagonjwa na wafiwa achilia mbali biashara zilizo simama

halafu anakuja waziri anasema 'serikali halilitambui agizo la mkuu wa chuo cha usafirishaji'

sasa kama huyu mkuu wa chuo agizo lake halitambuliwi ilikuwaje
jeshi la polisi lishinikize hao madereva walitii hilo agizo?

na je maagizo ya nyuma waliyokuwa wanayatii je? serikali iliyatambua?

je hatua gani zitachukuliwa kwa mtu huyu kutoa maagizo ambayo serikali haiyatambui?

je kwingine kote ambako maagizo yanatolewa kila mara wananchi wanajuaje hayo ni maagizo ya serikali au sio?


sasa haya yoote kama sio kuthibitisha 'taifa la pwagu na pwaguzi' ni nini?

When the major statement is wrong, whatever correct/good the midlle statements might be, the conclusion will be wrong. Ndicho kinachotokea hapa kwetu. As long as the the father is weak, the rest will follow suit!
 
Sisi kweli ni kama taifa la pwagu na pwaguzi....
yaani nchi nzima imesimama kufuatia mgomo wa madereva
watu wameshindwa kusafiri...wagonjwa na wafiwa achilia mbali biashara zilizo simama

halafu anakuja waziri anasema 'serikali halilitambui agizo la mkuu wa chuo cha usafirishaji'

sasa kama huyu mkuu wa chuo agizo lake halitambuliwi ilikuwaje
jeshi la polisi lishinikize hao madereva walitii hilo agizo?

na je maagizo ya nyuma waliyokuwa wanayatii je? serikali iliyatambua?

je hatua gani zitachukuliwa kwa mtu huyu kutoa maagizo ambayo serikali haiyatambui?

je kwingine kote ambako maagizo yanatolewa kila mara wananchi wanajuaje hayo ni maagizo ya serikali au sio?


sasa haya yoote kama sio kuthibitisha 'taifa la pwagu na pwaguzi' ni nini?

kumbe baadhi ya taasisi zinajitungia taratibu zake ndicho anachomaanisha yule mama kwa hiyo kuna vitu vingi vinafanywa bila utaratibu na vinatuumiza kwa kuwa kila mtu ana sauti na maamuz yake binafsi ktk taifa hili lililokufa.
 
Taifa la Masukutu mapoyoyo matupu ,mambuz na mapimbi.Taifa la Hamnazo.
 
Back
Top Bottom