Na dalali wa nyumba anaripoti kwa nani?
Makamanda ebu acheni matani hivi JK na Lowassa nani kachoka.
Kupitia taarifa ya habari ya ITV usiku huu nimesikia kwamba Rais Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambi rambi Waziri mkuu mh. Mizengo Pinda kutokana kifo cha aliyekuwa mbunge wa Ulanga na waziri katika ofisi ya rais utumishi Mh. Celina Kombani.
Sasa najiuliza hivi nani ni mfiwa hapo?
1. Huyu ni mteule wa rais kwa maana ya waziri.
2. Huyu ni waziri anayefanya kazi katika ofisi ya Rais ambayo kimsingi ndiye Mh. Kikwete.
3. Mjumbe katika baraza la mawaziri ambalo Mh. Kikwete ni mwenyekiti.
4. Mwanachama na mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM chama ambacho Mh. Rais Kikwete ndiye mwenyekiti wake.
Sasa salamu hizo za rambi rambi kwa waziri mkuu zinamantiki ipi?
Hebu watu wa itifaki tusaidiane hapa.
Wapi nimezumguzia afya ya mtu hayo mambo mnafanya nyie Bavicha.Uchovu kiutendaji kamanda na si vinhinevyo. Acheni kabisa kuzungumzia afya za watu. Hata Mungu hapendi.
Wakati waziri mkuu mwenyewe hata hasikiki, nadhani hata yeye atakuwa ameshangaa kusikia jina lake huko kwenye tv
labda ajui marehemu alikuwa wizara gani. Mziki wa lowassa sii wa kitoto. Magamba wamepoteana sana
Kupitia taarifa ya habari ya ITV usiku huu nimesikia kwamba Rais Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambi rambi Waziri mkuu mh. Mizengo Pinda kutokana kifo cha aliyekuwa mbunge wa Ulanga na waziri katika ofisi ya rais utumishi Mh. Celina Kombani.
Sasa najiuliza hivi nani ni mfiwa hapo?
1. Huyu ni mteule wa rais kwa maana ya waziri.
2. Huyu ni waziri anayefanya kazi katika ofisi ya Rais ambayo kimsingi ndiye Mh. Kikwete.
3. Mjumbe katika baraza la mawaziri ambalo Mh. Kikwete ni mwenyekiti.
4. Mwanachama na mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM chama ambacho Mh. Rais Kikwete ndiye mwenyekiti wake.
Sasa salamu hizo za rambi rambi kwa waziri mkuu zinamantiki ipi?
Hebu watu wa itifaki tusaidiane hapa.
Kupitia taarifa ya habari ya ITV usiku huu nimesikia kwamba Rais Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambi rambi Waziri mkuu mh. Mizengo Pinda kutokana kifo cha aliyekuwa mbunge wa Ulanga na waziri katika ofisi ya rais utumishi Mh. Celina Kombani.
Sasa najiuliza hivi nani ni mfiwa hapo?
1. Huyu ni mteule wa rais kwa maana ya waziri.
2. Huyu ni waziri anayefanya kazi katika ofisi ya Rais ambayo kimsingi ndiye Mh. Kikwete.
3. Mjumbe katika baraza la mawaziri ambalo Mh. Kikwete ni mwenyekiti.
4. Mwanachama na mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM chama ambacho Mh. Rais Kikwete ndiye mwenyekiti wake.
Sasa salamu hizo za rambi rambi kwa waziri mkuu zinamantiki ipi?
Hebu watu wa itifaki tusaidiane hapa.
Mtoa post hujielewi rais kumtumia salamu za rambi rambi waziri mkuu haimaanishi kuchoka bali ni utaratibu wa kimajukumu kwani mawaziri wote wapo chini ya waziri mkuu kama hujui taratibu za kiuongozi basi lwo uelewe hivyo usikurupuke siku nyingine
Ni kweli kwa mbunge ni sahihi kwa sababu rais haingii hapo. Lakini kwa Waziri ni yeye rais ndiye mfiwa na familia ya marehemu ikiwa ya kwanza. Waziri mkuu hasimamii baraza la mawaziri bali shughuli za serikali na hasa bungeni...soma Katiba. Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri ni Rais na mawaziri wanateuliwa na rais kama washauri wake wakuu. Pamoja na hiyo huyu alikuwa ni waziri ndani ya Ofisi yake, anaripoti moja kwa moja kwake. Sijui ni nani kakurupuka kati yako na sisi tunaoshangaa!Mbona mnakurupuka, Mtendaji mkuu wa baraza la mawaziri ni Mh Pinda, shughuli zote za mawaziri zipo chini yake hivo taarifa kama hiyo ya Mh Rais Kikwete ipo sahihi kiprotocal. Kwa taarifa yenu angekuwa ni mbunge wa kawaida salaam za pole mtu wa kwanza kupewa huwa ni Spika wa Bunge. Sasa nyie mnalishana mataongo pori tupu.
Mbona mnakurupuka, Mtendaji mkuu wa baraza la mawaziri ni Mh Pinda, shughuli zote za mawaziri zipo chini yake hivo taarifa kama hiyo ya Mh Rais Kikwete ipo sahihi kiprotocal. Kwa taarifa yenu angekuwa ni mbunge wa kawaida salaam za pole mtu wa kwanza kupewa huwa ni Spika wa Bunge. Sasa nyie mnalishana mataongo pori tupu.
Kupitia taarifa ya habari ya ITV usiku huu nimesikia kwamba Rais Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambi rambi Waziri mkuu mh. Mizengo Pinda kutokana kifo cha aliyekuwa mbunge wa Ulanga na waziri katika ofisi ya rais utumishi Mh. Celina Kombani.
Sasa najiuliza hivi nani ni mfiwa hapo?
1. Huyu ni mteule wa rais kwa maana ya waziri.
2. Huyu ni waziri anayefanya kazi katika ofisi ya Rais ambayo kimsingi ndiye Mh. Kikwete.
3. Mjumbe katika baraza la mawaziri ambalo Mh. Kikwete ni mwenyekiti.
4. Mwanachama na mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM chama ambacho Mh. Rais Kikwete ndiye mwenyekiti wake.
Sasa salamu hizo za rambi rambi kwa waziri mkuu zinamantiki ipi?
Hebu watu wa itifaki tusaidiane hapa.