Naomba nikupe the real example ilinitokea mm ni mfanyakazi tayar wa taasisi ya government zilitoka nafasi za kazi kupitia utumishi nikaomba kwa kufwata taratibu zote za utumishi yani kupitisha barua kwa mwajiri wangu nilipambana sana tena sana ikasainiwa nikasema hapa nimemaliza kazi...
Habari wadau . Samahani naomba kuuliza niliomba nafasi za kazi ila yalipotoka majina ya candidates waliochaguliwa kufanya interview , me sijachaguliwa sababu ni kwamba vyeti vyangu avija gongwa mhuri wa mwanasheria , nikaingia kwenye account yangu ya ajiraport kuangalia vyeti vyangu vyote...
1. kila kitu kinawezekana ni swala la muda tuu
2. Mungu ni mwema Kila wakati
3. Mwanamke ndo mwenyewe uwezo wa kuamua kubeba mimba au kutokubeba mimba (ata ukiwa smart vipi ili jambo wanaume wengi wamepigwa na kitu kizito kichwani )
4. Mafanikio yapo ndani ya ukimya au Siri ( mipango ya...
Kuhusu barua ya kuthibitishwa niswala la muda lazima upewe , ila kuhusu kuhama kwenda taasisi nyingine manager your expectations coz unaweza pewa iyo barua na bado boss wako akasema ayupo Tayar kukuacha kwa sasa kwenda taasisi nyingine , jambo.la msingi try kuwa vzr na boss wako kuliko kutumia...
Now days ata ukipokea mshahara wa mwezi mmoja tuu ww tayar upo kwenye system ata ukienda taasisi Gani kwenye system itaonesha tayar umeshapata check no . Labda boss wako afanye wepesi kukuachia tuu ila ilo lakuacha kazi kwa masaa 24 asifanye icho kitu kabc ni hatar sana coz system ya ajira ni...
Mkuu labda nikwambie tuu kama Kuna issues ulikuwa unafanya kipindi cha nyuma hapo zidi kuifanya kwa sasa kama ipo , coz iyo sehemu uliyopata kazi kunawatu walipeleka barua mwezi wa pili wakaitwa kuaza kazi mwezi wa 8 , najua umevumilia mpaka umechoka ila chukua iyo sample niliyokupa , mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.