Wewe njoo Tubet mtaani.Nimeitwa interview mbili Examination officer na Registration officer zote zinafanyika muda mmoja bado sijajua nifanye ipi niache ipi
Hahahaha daahKila laheri Ila hutoboi
Wanakuja kukusaidia Mungu Akutangulie Sana.Wakuu nimeitwa kwenye usaili wa Examination officer (written) hapo Dodoma (2/10/2023). Naomba kujuzwa maswali yanayoweza kuulizwa kwenye hiyo paper kutoka kwa wazoefu miliowahi kufanya hizo interview
Hapo komaa mwenyewWakuu nimeitwa kwenye usaili wa Examination officer(written) hapo Dodoma (2/10/2023). Naomba kujuzwa maswali yanayoweza kuulizwa kwenye hiyo paper kutoka kwa wazoefu mliowahi kufanya hizo interview.
Ningependa kukushauri jambo moja, pitia job descriptions za lile tangazo la kazi lililotolewa. Then usome kwa kina kila job description. Nakuhakikishia utakuwa umejiandaa na usahili kwa sehemu kubwa.Wakuu nimeitwa kwenye usaili wa Examination officer(written) hapo Dodoma (2/10/2023). Naomba kujuzwa maswali yanayoweza kuulizwa kwenye hiyo paper kutoka kwa wazoefu mliowahi kufanya hizo interview.
Moja saa 1:00 Asubuhi na nyingine saa 4:00 Asubuhi. Angalia vizuri mkuuNimeitwa interview mbili Examination officer na Registration officer zote zinafanyika muda mmoja bado sijajua nifanye ipi, niache ipi.
Kwnn hatoboi??Kila laheri Ila hutoboi
Asante sana kiongoz kwa kunitia moyo, Hayo maneno yatawapa ujasiri na wengine wengi sio mimi tuuu.Kila la heri Mungu akutangulie na mtumainie atakupigania, nilikuwa kama wewe mapema mwezi huu katika usaili mgumu (tofauti na yako) ambao nilikutana na watu waliokuwa wanajitolea kwenye taasisi husika, nilimwomba Mungu nikaingia, ila yeye si Athumani
Miezi kadhaa baadae Mkeka ukatoka na Jina langu, cha msingi pitia job description halafu pitia madesa yako vizuri, utatoboa!
Usisahau kuelezea uzoefu wako unaohusiana na kazi unayoomba, hii ni muhimu sana huwa hawapitii CV ni muhimu kueleza kwa mdomo wako mwenyewe usiassume wamepitia CV yangu wananijua!!!
Pita nayo iyoo , all the best mkuuWakuu nimeitwa kwenye usaili wa Examination officer(written) hapo Dodoma (2/10/2023). Naomba kujuzwa maswali yanayoweza kuulizwa kwenye hiyo paper kutoka kwa wazoefu mliowahi kufanya hizo interview.