Sijui kama ni kweli!!! Haya maneno ya jukwaani nayo yanaleta matumaini lkn mmmm!
Tangu 2011 nadai malimbizo, nilishaanaa bajeti hadi karatasi zimepotea du!
Aisee kama mchezo wa kuigiza vile! Binafsi nadhani huo ni ubunifu kwani ili upate pesa lazima uwe jasiri. Umri miaka 45 wakati ule wimbo wa maisha bora kwa kila mtanzamia haujafikia korasi jamaa kahofia uzee bila pesa.
Hii ndo hali halisi,Rais mwenyewe alikwisha tangaza msimamo jinsi asivyothamin walimu.Wabunge wenu wenyewe ndo kabisaaaa . sijui mtafanyaje. Wapi Nyerere awaokoe hawa walimu wenzake wanaotaabika na mishahara duni Ktk wakati ambao maisha yako juu. Lini mwl wa Tz atapata maslah yatakayomwezesha...
Hao ndo wasumbufu wanao wachukua waume wa wenzao kwa kujituma na kuwafanyia utundu ili wawateke.Km mwanamke atasema hahitaji kuolewa basi atumie njia nyingine kukata kiu ya mapenzi na sio kujibebea mabwana wa wenzake.
Walimu waige mfano wa wenzao Kenya, wawe na tamko moja litakalowapeleka ktk mafanikio juu ya madai yao.Serikali hii ya sasa si sikivu inahitaji kushinikizwa ukizingatia rais mwenyewe alishawadjarau kitaambo!
Masikini walimu wetu,, kilasiku wao ni watu wa matumaini ya mishara mipya na madarajaaaaa!!!.Wanavuja jasho wakati wenzao wanamega kiulaini.Najiuliza maswali mengi kuhusu hili bila kupata majibu! Hii nijeuri ya mh.Rais kitowathamin? au kunanchezo mchafu wa baadhi ya watu walioko chini yake...
subilini mbivu na mbichi kujulikana baada ya matokeo ya mitihani ya watoto,serikali wanania ya kuchukua alama 40 kwa wanafunzi wanaotakiwa kujiunga na sekondari.
Huna hakika yawezekana ikawa kweli au isiwe kweli lkn tunakumbuka zamani kulikuwa na misemo km wakati ukuta,watu wanaweza kuhitaji mabadiliko wala wasijali chochote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.