Habari wanajamvi!
Naomba kujuzwa kuhusu biashara ya mishikaki has a inayouzwaa barabarani karibu na vituo vya daladala.
Ni maarufu sana kwa mkoa wa Dar es salaam. Mwenye experience nayo anijuze mtaji kwa kuanzia ni shilingi ngapi? Na kijana anayechoma unamlipa shilingi ngapi kwa siku? Pia...
Yai la kanga ni shilingi ngapi? Na vp wadau unaweza kufuga kanga na kuku kwenye banda moja? Na soko la kanga likoje? Kanga mkubwa anauzwa shilingi ngapi? Naomba kujuzwa na bei ya mayai ya bata bukini. Natanguliza shukrani
Habari wanajamvi,
Kuna dada mmoja yupo kijijini anadai kadunduliza wee kafanikiwa kupata kiasi cha laki tatu (300,000). Anataka kwenda Dar akatafute biashara afanye ila hadi sasa hajajua ni biashara gani (biashara halali), na huko Dar hana ndugu hivyo itabidi apange chumba kwenye hiyo hiyo hela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.