Tenda - Kuprint Magazine

Apollo

JF-Expert Member
May 26, 2011
4,920
3,221
Habari ndugu.

Kuna magazine mpya inahitaji mtu wa kuprint vizuri ili tuiwakilishe kwa ajili ya kufuatilia kibali. Tumeambiwa tupeleke nakala 10.

Ninaomba kama kuna anayefahamu Kampuni, au watu wazuri katika printing digital kwa nakala 10 na kuendelea tuwasiliane na tukiweza kushirikiana vyema hapo baadaye tutakuwa tunaprint copy kuanzia 100, 500 na kuendelea.

Tunapatikana Dar es Salaam.

Asanteni.
 
Nenda mtaa wa mbozi road kuna kampuki lukuki au unaweza kwenda kwenye mabanda ya magazeti na kuangalia magazine kadhaa huwa wanaandika kampuni walizoprintia
 
Nenda mtaa wa mbozi road kuna kampuki lukuki au unaweza kwenda kwenye mabanda ya magazeti na kuangalia magazine kadhaa huwa wanaandika kampuni walizoprintia

Nashukuru sana kwa comment.

Mtaa wa Mbozi upo eneo gani ndugu?
 
Nakala kumi hapo huwezi pata sample ya gazeti yaani karatasi za gazeti
Ushauri print 128gsm kutoka digital
 
Back
Top Bottom