Business partner wa kike anatafutwa kwa biashara ya ufugaji wa kuku

shaurimbaya

JF-Expert Member
Oct 3, 2013
1,915
2,329
Habari wadau?

anatafutwa mdada wa kusimamia ufugaji wa kuku wa kisasa.. wa nyama na mayai around 1000 kwa kuanzia

inshort yeye ndio ataongoza na kusimamia business nzima..

mama yangu ataweka mtaji, eneo la kufugia, chakula na malazi kwa business partner... na allowance ndogo ndogo kwa partner kipindi kuku hawajaanza kuuzika

eneo lipo yombo vituka..

anahitajika mtu mwenye commitment hasa anayeogopa hasara yeyote.. full time committed on those kuku..

wadada ambao hawana ajira na wapo interested na hii fursa mnakaribishwa
mnaoweza kuishi na mmama mtu mzima kupush huo mradi..

profit mtagawana nusu kwa nusu..

eneo ni dar es salaam maeneo ya buza...
 
Kwanini lazima mdada? Tena kwa ufugaji mzuri tafuta kijana mchapakazi ambaye kwao kijijini kulikuwa na mifugo. Atasaidia pia kwenda mwenyewe kununua mahitaji na pia kwenye ulinzi wa mradi hata kama una mlinzi watasaidiana. Vinginevyo endelea kutafuta hawa wadada wa instagram uone dawa
 
Na kuongezea tu usitudanganye suala la kugawana profit nusu kwa nusu, yaani kila kitu ni chako mi nafanya tu kazi halafu tugawane faida nusu kwa nusu? Be realistic mkuu,mtu atakuja na expectations kubwa then baada ya muda aone unamzingua. Utarudi ukute umeachiwa kuku mmoja tu wa kula
 
ha ha ha mi nimeshaoa zamani sana na naishi mbali na mama...

anahitaji partner sababu commitment yake ni kubwa kuliko kumuajiri mtu au house girl sababu analipua kazi na wengi wao hawajari hasara..

lakini mtu ambaye na yeye ni part of the business.. faida na hasara inamuhusu na yeye anakuwa more committed than mtu anayelipwa mshahara iwepo hasara au faida..

mdada wa kufuga kuku jf,

itakuwa hujamuelewa mama yako,
ana maanisha utafute mke si mdada wa kufuga kuku!
 
profit ni nusu kwa nusu... sababu kazi yote inafanywa na huyo mdada... yeye ndio team leader.. so lazima apate kipato kizuri ili aipende na kuiboresha kazi hii ifike mbali..

mtaji sio ishu.. na eneo lipo tu limekaa wazi.. so ni bora kupata hata kidogo kuliko kukosa kabisa..

narudia tena profit sharing ni nusu kwa nusu ndio maana anahitajika mtu anaeweza kuinvest akili yake, muda wake na nguvu zake full of commitment...

ingekuwa sio wa kugawana faida si tungemuajiri hata house girl tu aliyopo afanye yeye... hii ni management ya kila kitu.. kuanzia dawa za kuku, chakula, maji etc.. na b mkubwa yupo busy busy sana thats why tunahitaji partner wa ku manage

Na kuongezea tu usitudanganye suala la kugawana profit nusu kwa nusu, yaani kila kitu ni chako mi nafanya tu kazi halafu tugawane faida nusu kwa nusu? Be realistic mkuu,mtu atakuja na expectations kubwa then baada ya muda aone unamzingua. Utarudi ukute umeachiwa kuku mmoja tu wa kula
 
Na kuongezea tu usitudanganye suala la kugawana profit nusu kwa nusu, yaani kila kitu ni chako mi nafanya tu kazi halafu tugawane faida nusu kwa nusu? Be realistic mkuu,mtu atakuja na expectations kubwa then baada ya muda aone unamzingua. Utarudi ukute umeachiwa kuku mmoja tu wa kula
Anatafuta mke aliye tayari kujishughulisha.
 
ha ha ha mi nimeshaoa zamani sana na naishi mbali na mama...

anahitaji partner sababu commitment yake ni kubwa kuliko kumuajiri mtu au house girl sababu analipua kazi na wengi wao hawajari hasara..

lakini mtu ambaye na yeye ni part of the business.. faida na hasara inamuhusu na yeye anakuwa more committed than mtu anayelipwa mshahara iwepo hasara au faida..
Mkuu, ni wazo zuri lakini mimi nakushauri utafute kijana wa kiume, kumbuka kuwa huyo Mdada anayemtafuta hata kama unamwita biz partner, yeye atakuwa hana gharama yoyote aliyoingia katika hiyo project kwa hiyo hana uchungu nayo, aidha, mabinti wengi ni rahisi kudanganyika na vijana wa mtaani akawa na kibri na kuanza kumsumbua mama na kumjibu ovyo.
 
ha ha ha mi nimeshaoa zamani sana na naishi mbali na mama...

anahitaji partner sababu commitment yake ni kubwa kuliko kumuajiri mtu au house girl sababu analipua kazi na wengi wao hawajari hasara..

lakini mtu ambaye na yeye ni part of the business.. faida na hasara inamuhusu na yeye anakuwa more committed than mtu anayelipwa mshahara iwepo hasara au faida..

kufagia, kuweka maji na chakula atafanya nani maana wote watakuwa maboss !
 
Mkuu kama upo makini na unachoongea nichek mm alafu kabla ya kunipa kaz uje uone nnachofanya ndipo uridhike kama kwel unamtaj wakutosha sio wa kuunganga ntaacha hapa naukika baada ya mwaka utawasimulia wana jf.
 
Back
Top Bottom