Simba wana akili ndogo kweli eti waliwaweka benchi Okwi na Boco kisa wana mechi ngumu na waharabu wamepoteza point 2 kwa sababu ya ujinga wanafikiri mwarabu ni mbao 4G subutu yao nyumbu hao.
Yaani nimejikuta nacheka kweli maisha haya yaani mtu huwa anakosoa anapoona hana uwezo wa kukipata hicho kitu lakini siku akipata kimya na wakati ni yule yule alikuwa kinywa wazi kudisi ya watu.Ni kumwomba tu mungu kila mtu apate hakuna asiependa vitu vizuri jamani ni hali tu ngumu.
Niko mimi ni mwanamke napenda mpira sana na ninaujuwa vema mpaka wachezaji wengi wa timu zote nawajua mie ni Umoja wa mataifa young Dar African na Arsenal the gunners .
Safi sana kamanda mie nashindwa kuelewa kwa nini ccm wanahangaika sana na upinzani wakati wao wako madarakani wana uwezo tu mkubwa wa kufanya lolote waacheni wapinzani nao wanahaki sawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.