Makinikia Original
Member
- Aug 29, 2017
- 90
- 154
Ikiwa ni dakika kadhaa zimesalia kabla ya kuhitimisha mwezi huu wa nane, 2017 ni nani anastahili kupewa tuzo ya mwanasiasa bora wa mwezi huu wa nane kati ya hawa,
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt John Pombe Joseph Magufuli.
Rais mstaafu wa awamu ya nne, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete.
Makamu wa rais, Mama Samia Suluhu Hassan.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ndugu Daudi Albert Bashite alias Paul Christian Makonda.
Waziri wa Sheria na Katiba, Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Ndugu Mrisho Mashaka Gambo.
Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Mnadhimu mkuu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, Mbunge wa Singinda Mashariki na rais wa TLS, wakili Tundu Antipas Mughway Lissu.
Kiongozi Mkuu wa chama cha ACT wazalendo na Mbunge wa Kigoma Mjini, ndugu zitto Zuberi Ruyagwa Kabwe.
Karibuni, chanda chema huvikwa pete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt John Pombe Joseph Magufuli.
Rais mstaafu wa awamu ya nne, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete.
Makamu wa rais, Mama Samia Suluhu Hassan.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ndugu Daudi Albert Bashite alias Paul Christian Makonda.
Waziri wa Sheria na Katiba, Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Ndugu Mrisho Mashaka Gambo.
Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Mnadhimu mkuu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, Mbunge wa Singinda Mashariki na rais wa TLS, wakili Tundu Antipas Mughway Lissu.
Kiongozi Mkuu wa chama cha ACT wazalendo na Mbunge wa Kigoma Mjini, ndugu zitto Zuberi Ruyagwa Kabwe.
Karibuni, chanda chema huvikwa pete.