Recent content by Nyakazeze

  1. N

    Samahani kwa picha hizi sio nzuri, Tumuonee huruma

    Kwa hali kama hiyo huna haja ya kujua chanzo ni nini, wewe kama umeguswa msaidie. Kimsingi inatia huruma sana lakini ninaimani wafadhili watajitokeza wa kumsaidia, pole sana mdogo wangu.
  2. N

    Taarifa kwa umma juu ya kutelekezwa na chama changu (NCCR Mageuzi)

    Staki kuamini kama hayo malalamiko yako umeyafikisha kwenye uongozi wa chama na ukashindwa kutatuliwa ukiachilia mbali kuongea kwenye Mkutao Diamond, nafikiri bado unannafasi ya kukutana na uongozi wako mkazungumza ili waone ni kwa namna gani watakusaidia. Lakini nafikiri kwa kuwa wewe ni msomi...
  3. N

    Nafurahia analogy ya kuitwa kondomu

    Umefikisha ujumbe kwa kutumia maudhui yenye uhalisia wa kweli
  4. N

    JWTZ commandos doing their things

    vijana wanajipanga si unaona Mutharika ameshaanza chokochoko
  5. N

    Tajiri adaiwa kumng’ata, kumchoma pasi mtumishi wake kwa miaka mitatu

    Nikiwa kama mwanamke, kiukweli inauma sana, nashindwa kuelewa kwa nini hivi sasa wanawake wanaongoza kwa ukatili. Inauma sana
  6. N

    Tangu Ujiunge JamiiForums, Mpaka Sasa Umenufaika Kwa Lipi?

    Inanisaidia kupata habari mbalimbali nje na ndani ya nchi, lakini kama nimevurugwa iwe kazini au nyumbani huniondoa mawazo na kunipa furaha
  7. N

    Mwili wa Mtoto aliyeishi kwenye BOX kuagwa uwanja wa Jamhuri Morogoro

    Mwenyezi Mungu amuweke mahali panapostahili Amina
  8. N

    Bata na Kuku kipi kinalipa?

    Wadau naombeni ushauri wenu, ninampango wa kufuga Bata au Kuku wa nyma kwa ajili ya biashara, naomba ushauri wenu kipi kinalipa. Nategemea ushauri mzuri.
  9. N

    Picha: Yaliyojiri Kigoma katika mazishi ya Shida Salum (Mama yake Zitto)

    Jamani acheni masihala kwa mambo mazito kama haya, kinachotakiwa kwa sasa ni kuwafariji wafiwa wote na Mwenyezi Mungu amuweke mahali panapostahili
  10. N

    Yanayojiri bungeni Dodoma: Jumatatu tarehe 2 June, 2014

    Mbunge wa Ubungo John Mnyika ametoa hoja kwamba uanzishwe mfuko maalum wa maji kama ilivyo kwenye umeme, wabunge wanachangia na kutaka bajeti ifumuliwe upya ili kupata fedha kwa ajili ya kutatua shida ya maji.
  11. N

    Max, mlimani TV afariki

    Maxmilian John Ngude, mwandishi wa Mlimani TV. na mpiga picha nguli wa Tanzania amefariki dunia, RIP Max
  12. N

    Lembeli ashtaki magazeti

    Lembeli kutoka kushoto Nkuwi na Sarakikya wakipanga mipango ya kumg’oa Mkurugenzi wa wanayama pori. Hapo walikuwa London ndipo walipopanga huo mpango
  13. N

    HATARI: Hali ya Usalama Dar si nzuri, Kundi la 'Watoto wa Mbwamwitu' lawa tishio Ilala

    uhalifu huu kwa sasa umeenea katika jiji la Dar es salaam, juzi jirani yangu alivamiwa nyumbani kwake na kundi la watu zaidi ya ishirini, walianza kwa kumdhibiti mlizi huku wakimjeruhi kwa mapanga, wakafanikiwa kuingia ndani na kumlazimsha dada huyo kutoa fedha walifanikiwa kuondoka na laptop...
  14. N

    Unyanyasaji wa kutisha kwa mtoto Nasra mkoani Morogoro: Aishi kwny box kwa miaka 4!

    nimesom Hiyo story machozi yamenitoka kwa Kweli, huwezi kuamini kama mambo hayo yamefanywa na binadamu. Nafikiri adhabu wanayostahili wapigwe fimbo hadharani. Nayi wanaume mnachangia kwa kiasi kikubwa unyanyasaji wa Watoto
  15. N

    Tanzia: Nimefiwa na mwanangu

    Mungu ampumzishe sehemu inayostahili malaika huyo.
Back
Top Bottom