Anavijua ndo maana anaunga mkono hoja hiyo.
Wengi wetu wanamchukulia Mungu kama kiumbe ambacho kipo mahali fulani (mbinguni) kitu ambacho si kweli hata kidogo
Light of the Universe inakuongoza vyema kabisa.
Watu wengi wamelogwa na hizi Mila na desturi za waarabu na wayahudi Kwa kigezo cha dini.
Wanachukiana Kwa sababu ya kuamini uongo.
Ingia ndani mwako, ndipo Mungu halisi alipo, mengine mnajidanganya bure.
Huyu kijana (Pastor John) namjua sana tangu enzi hizo akiwa choka mbaya na mke hakuwa na ajira.
By then alikuwa mwalimu wa dini katika baadhi ya shule Morogoro mjini.
Hivyo changamoto za maisha kapitia tena kwa ugumu sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.