Recent content by nyachina

  1. nyachina

    JamiiForums Tanzania Je, wajua Tanzania ina Makamu wawili wa Rais? Mmoja ni halali na mwingine ni batilifu hadi Septemba 4 ndipo anakuwa halali. Rais na VP Sio Wabunge!

    Na hata Emanuel Nchimbi kasema hivyo. Hii katiba Kwa sasa imepitwa na wakati ila Watawala wanaopenda kutumia mabavu hawaoni haja ya kurekebisha Katiba ILIYOPO maana inalinda mapungufu yao. Ninaamini Nchimbi atarudi kwenye siasa baada ya kuwepo Kwa Katiba mpya na nina Imani anaweza kuwa Rais Mpya...
  2. nyachina

    JamiiForums Tanzania Riwaya: Mkimbizi

    Hivi waandishi kama Hawa wamepotelea wapi. Je Kuna vizazi vya Gen Z wanaweza kuandika Riwaya auTamthilia?
  3. nyachina

    JamiiForums Tanzania Vuguvugu la kudai Tanganyika huru linanukia?

    NAUNGA MKONO UWEPO WA SERIKALI JAMHURI YA TANGANYIKA, REGARDLESS MUUNGANO UWEPO AU LA.
  4. nyachina

    JamiiForums Tanzania Nafsi imesahaulika. (a rant).

    Kwa hakika tumefika Kwa sababu ya mapokezi ya Imani za kigeni na kuacha asili yetu. Huo ndo ulikuwa mwanzo wa Utumwa ambao mpaka sasa tumetekwa. Walihakikisha wanateka nyanja kuu ambazo ni Spirit and Soul baada ya hapo mind and body zikafuata na ndo hicho kinaendelea hapa. Imani za kigeni...
  5. nyachina

    JamiiForums Tanzania Nafsi imesahaulika. (a rant).

    Huwezi kuzuia mafuriko Kwa kiganja cha mkono. Let Let the water flow along its natural course. Kila kitu kimepangwa Kwa ustadi mkubwa kwa namna inavyotokea.
  6. nyachina

    JamiiForums Tanzania Makabila yanayosifika kwa kutokuwa na ubinafsi

    Mimi ni Msukuma 💯 Miaka 25 iliyopita niliwahi kuishi Kwa Wasukuma wenzangu na Kwa bahati nzuri Kwa kuwa nilizaliwa na kukulia mjini, na pia mazingira ya shule nilizosoma, lafudhi yangu sio ya Kisukuma japo najua kuongea Kisukuma vizuri sana. Sasa nilipokuwa nafanya shughuli zangu huko kwenye...
  7. nyachina

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu anajua ni nini kinaendelea hapa?

    Hii ni moja ya Mila Bora kabisa nchini. Anachagua anayempenda na kama hayupo kwenye kundi like hawezi kuchagua mtu asiyempenda. Na ndo maana ndoa za Wasukuma zinadumu sana tofauti na wastaarabu.
  8. nyachina

    JamiiForums Tanzania Jinsi soda ya Pepsi ilivyoiponza Urusi

    Hapa Kuna chai ya mtundula na pilipili manga 😄
  9. nyachina

    JamiiForums Tanzania Jinsi soda ya Pepsi ilivyoiponza Urusi

    Kumbe 😄
  10. nyachina

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Marehemu Kibonde aomba msaada wa Kisheria kuhusu mirathi ya baba yake

    Dorothy Gwajima yupo humu na ataweza kusoma
  11. nyachina

    JamiiForums Tanzania Muda ni Mwalimu mzuri sana: Siasa ni kama upepo, hubadilika wakati wowote

    Hili nalo litapita japo kwa maumivu makali sana. Tuna la kujifunza na mabadiliko lazima yatokee tu. Mafuriko hayazuiliwa kwa mkono
  12. nyachina

    JamiiForums Tanzania Muda ni Mwalimu mzuri sana: Siasa ni kama upepo, hubadilika wakati wowote

    Hapa nawaza inawezekana hata waliokuwa wanauwa ovyo huenda ni ISS au kundi lenye mwelekeo kama huo na ambalo lipo kwa kazi hiyo
  13. nyachina

    JamiiForums Tanzania Majibu ya TANESCO kuhusu changamoto za wateja zilizowasilishwa kupitia JamiiForums - Juni 2026

    Kwa Huduma hii nzuri kwa wateja hakika TANESCO mpo vizuri sana
  14. nyachina

    JamiiForums Tanzania Ronaldo aweka rekodi mpya

    Ifike mahali apumzike soka la kimataifa ili kulinda hadhi yake
Back
Top Bottom