Recent content by nyachina

  1. nyachina

    Watu wengi wa kanda ya ziwa hawajui kusoma hasa wasukuma

    Ajabu kwenye matokeo ya mtihani ya kitaifa PSLE, FTNA, CSEE na ACSEE ni mmoja wa mikoa kinara hasa Mwanza na Geita.
  2. nyachina

    Nimeshuhudia mama yangu akisali kwa moyo na imani miaka 15+ ila bado anapitia mateso ya baba. Anaumwa pia, ila baba ndio bado ana enjoy maisha

    Anavijua ndo maana anaunga mkono hoja hiyo. Wengi wetu wanamchukulia Mungu kama kiumbe ambacho kipo mahali fulani (mbinguni) kitu ambacho si kweli hata kidogo
  3. nyachina

    Quran ya Allah ni kitabu kisichokuwa na shaka

    Mnaobishana mnamaliza energy zenu bure badala ya kutafuta pesa 😀
  4. nyachina

    Quran ya Allah ni kitabu kisichokuwa na shaka

    Light of the Universe inakuongoza vyema kabisa. Watu wengi wamelogwa na hizi Mila na desturi za waarabu na wayahudi Kwa kigezo cha dini. Wanachukiana Kwa sababu ya kuamini uongo. Ingia ndani mwako, ndipo Mungu halisi alipo, mengine mnajidanganya bure.
  5. nyachina

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Ufafanuzi zaidi mkuu. Wengine hatujui kinachoendelea.
  6. nyachina

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Huyo hana ubavu wa kujibu hoja zilizo mkini
  7. nyachina

    Pastor Tony Kapola awajibu waliobeza muujiza wa kupuliza gesi: Naonekana nadhalilishwa

    Hii naongelea 2013 hadi 2016. Mkewe alianza ajira ya ualimu mwaka 2017 hapo Morogoro mjini
  8. nyachina

    Pastor Tony Kapola awajibu waliobeza muujiza wa kupuliza gesi: Naonekana nadhalilishwa

    Huyu kijana (Pastor John) namjua sana tangu enzi hizo akiwa choka mbaya na mke hakuwa na ajira. By then alikuwa mwalimu wa dini katika baadhi ya shule Morogoro mjini. Hivyo changamoto za maisha kapitia tena kwa ugumu sana.
  9. nyachina

    Niko njiapanda ya kuchagua dini sahihi

    Dini ya kweli ni UPENDO. Nakushauri uanze kufanya 'MEDITATION' kwa kujiuliza 'Mimi ni Nani' na kusudio la kuwepo duniani ni nini.
  10. nyachina

    GE2025 Mtoto wa Celina Kombani apeta Kura za maoni

    Kwa sasa anafanya kazi S Dodoma, familia na mqkazi yake yapo Morogoro
  11. nyachina

    Anayejua dawa ya jino, leo sijalala

    Wahi kafanye root canal.
  12. nyachina

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Na hii ndo sababu inayomlazimisha Trump kutuma silaha. Hakika wamechanganyikiwa.
  13. nyachina

    Kulingana na duru za Kijasusi za Israel, Iran Hawakuhamisha Uranium Iliyorutubishwa kwenye vinu vyake wakati wa mashambulizi ya Marekani

    Taarifa sahihi ni ngumu sana kuzipata kwa kula kila upande unataka kuonesha mafanikio katika operation hii, propaganda ina nafasi kubwa sana.
Back
Top Bottom