Recent content by nyachina

  1. nyachina

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu anajua ni nini kinaendelea hapa?

    Hii ni moja ya Mila Bora kabisa nchini. Anachagua anayempenda na kama hayupo kwenye kundi like hawezi kuchagua mtu asiyempenda. Na ndo maana ndoa za Wasukuma zinadumu sana tofauti na wastaarabu.
  2. nyachina

    JamiiForums Tanzania Jinsi soda ya Pepsi ilivyoiponza Urusi

    Hapa Kuna chai ya mtundula na pilipili manga 😄
  3. nyachina

    JamiiForums Tanzania Jinsi soda ya Pepsi ilivyoiponza Urusi

    Kumbe 😄
  4. nyachina

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Marehemu Kibonde aomba msaada wa Kisheria kuhusu mirathi ya baba yake

    Dorothy Gwajima yupo humu na ataweza kusoma
  5. nyachina

    JamiiForums Tanzania Muda ni Mwalimu mzuri sana: Siasa ni kama upepo, hubadilika wakati wowote

    Hili nalo litapita japo kwa maumivu makali sana. Tuna la kujifunza na mabadiliko lazima yatokee tu. Mafuriko hayazuiliwa kwa mkono
  6. nyachina

    JamiiForums Tanzania Muda ni Mwalimu mzuri sana: Siasa ni kama upepo, hubadilika wakati wowote

    Hapa nawaza inawezekana hata waliokuwa wanauwa ovyo huenda ni ISS au kundi lenye mwelekeo kama huo na ambalo lipo kwa kazi hiyo
  7. nyachina

    JamiiForums Tanzania Majibu ya TANESCO kuhusu changamoto za wateja zilizowasilishwa kupitia JamiiForums - Juni 2026

    Kwa Huduma hii nzuri kwa wateja hakika TANESCO mpo vizuri sana
  8. nyachina

    JamiiForums Tanzania Ronaldo aweka rekodi mpya

    Ifike mahali apumzike soka la kimataifa ili kulinda hadhi yake
  9. nyachina

    JamiiForums Tanzania Natabiri

    Naona unajiandaa kuvua gamba, ili baadae uvae gamba jipya (reincarnation). Endelea kufanya meditation huku ukiishi maisha safi yaliyojaa upendo ili maisha yajayo yakawe na furaha kwako.
  10. nyachina

    JamiiForums Tanzania Siri ya watu wenye high frequency(aura) na maajabu yake katika maisha

    Hapa nipo kwa 98%. Infact, me nafanya sana meditation.
  11. nyachina

    JamiiForums Tanzania Mwongozo wa Kiroho kuelekea Ukombozi kamili kutoa laana za Ukoo

    Kaka Mshana. Naomba unisaidie, je kuna mbinu katika meditation inayoweza kuondoa laana (karma) za kizazi na kizazi ikiwa ni pamoja na kuondoa genetic diseases?
  12. nyachina

    JamiiForums Tanzania Reincarnation na rebirth ni kitu kile kile

    Reincarnation is REAL
  13. nyachina

    JamiiForums Tanzania Mfanano wa ajabu kati ya umbilical cord na silver cord

    Nina amini kuwa rebirth au reincarnation kuwa ni halisi. Nimewahi kushuhudia mtoto wa miaka 5 au 6 alisema kuwa kabla ya kuzaliwa Kwa mwili alionao sasa aliwahi kuwa binadamu na sasa amekuja tena hapa duniani. Alisema kuwa yanayofundishwa kwenye Imani za kidini ni uongo kuwa binadamu atahukumiwa...
Back
Top Bottom