angekua wa kwako ungefanyaje?ungepigana???halafu? ndio niko hivyo,si mtu wa ugomvi na wala sijui kugombana...mambo ya kutukanana na watu kwenye simu mwishowe wakuvunjie heshima huwa sitaki kabisa.
mara nyingi watu hukubaliana kodi kwanza,halafu wanakubaliana ajenge hapo kwenye kiwanja baada ya kumaliza huangalia gharama ni kiasi gani then wanaangalia hiyo kodi itacover hizo gharama kwa muda gani,kama ni mwaka au miaka kadhaa.halafu jamaa anafanya hapo biashara mkataba hilo duka au fremu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.