Love messages

Anza tabia ya kumtumia mumeo love message. Inaonekana zinamkuna sana na akiendelea kutumiana na hao wasichana utamkosa mazima. Jitahidi kuwa mbunifu na kumkamata mumeo kwa mahaba mbalimbali. Usibweteke tu eti kwa kuwa ameshakuoa na umemzalia mtoto.

love messages namtumia sana...sijui nifanye nini! na hayo mengine anapata
 
ndio kwanza tuna mwaka na tuna mtoto mmoja.hajawahi kunionyesha kuwa amenichioka,na nikiri kwamba ananipenda na kunijali sana.ananipa kila kitu kwa kadri ya uwezo wake,weekends kama haendi chuo basi huwa anashinda nyumbani,hajawahi kuilala nje na anajali familia. hata sakramenti ya ndoa iko pale pale tena hatupitishi zaidi ya siku tatu,atalalamika
nisipompa. sasa sijui ni hobbie aliyonayo au ni nini?

African darkness mind kill many & many will still die, unaona tatizo una palilia, u don't react, ushahidi unao, eti upo kimya? Wait gonjwa likikushika na kifo unakiona utapata akilli, this reminds me a lot in my 10 yrs back of sec school life, kuna watu ili waelewe njia ni moja tu FIMBOOOOOO SANA, ATAFAULU NA KUWA MWANAFUNZI BORA, sasa in real life, FIMBO YA MWALIMU DUNIA NI KUWA NA MAISHA HATARI MWISHOE MAUTI KABLA YA MUDA YATAKUFIKA, maana una macho huoni, una masikio husikii, una ubongo bongolala, una pua hainusi, una ngozi iliyo na ganzi, una ulimi usio jua laza, una mdomo uko bubu, una uchi unatumika vibaya, una mikono hufanyii kazi, una everything for a reason not by mistake hata kidogo na mbaya zaidi baadhi ya vitu mungu alivyokujali unatumia vibaya kheri usingetumia au ungetumia vizuri kuwa na maisha bora, utajiju wait gonjwaaa sina advice kwako
 
tatizo mi sio mtu wa ugomvi sana,halafu niwaambieje nikishawapigia?naogopa wakimwambia mume wangu nimepiga simu.kuna mmoja nilimpigia alipopokea nikaishia tu kumwambia wrong number nikakata simu.

Mhhhh....wewe mdada, uko tofauti sana. Huyo ni mume wako kweli au ni mnaishi tu bado kufunga ndoa, so unaogopa mambo yanaweza yasiende kwa jinsi unavyotegemea!! kwa kweli umenishangaza mie.....................mhhhhh!!!!
 
Mhhhh....wewe mdada, uko tofauti sana. Huyo ni mume wako kweli au ni mnaishi tu bado kufunga ndoa, so unaogopa mambo yanaweza yasiende kwa jinsi unavyotegemea!! kwa kweli umenishangaza mie.....................mhhhhh!!!!

angekua wa kwako ungefanyaje?ungepigana???halafu? ndio niko hivyo,si mtu wa ugomvi na wala sijui kugombana...mambo ya kutukanana na watu kwenye simu mwishowe wakuvunjie heshima huwa sitaki kabisa.
 
African darkness mind kill many & many will still die, unaona tatizo una palilia, u don't react, ushahidi unao, eti upo kimya? Wait gonjwa likikushika na kifo unakiona utapata akilli, this reminds me a lot in my 10 yrs back of sec school life, kuna watu ili waelewe njia ni moja tu FIMBOOOOOO SANA, ATAFAULU NA KUWA MWANAFUNZI BORA, sasa in real life, FIMBO YA MWALIMU DUNIA NI KUWA NA MAISHA HATARI MWISHOE MAUTI KABLA YA MUDA YATAKUFIKA, maana una macho huoni, una masikio husikii, una ubongo bongolala, una pua hainusi, una ngozi iliyo na ganzi, una ulimi usio jua laza, una mdomo uko bubu, una uchi unatumika vibaya, una mikono hufanyii kazi, una everything for a reason not by mistake hata kidogo na mbaya zaidi baadhi ya vitu mungu alivyokujali unatumia vibaya kheri usingetumia au ungetumia vizuri kuwa na maisha bora, utajiju wait gonjwaaa sina advice kwako

hiyo nayo ni advice,i have the right to take it or leave it!thanks.
 
tatizo mi sio mtu wa ugomvi sana,halafu niwaambieje nikishawapigia?naogopa wakimwambia mume wangu nimepiga simu.kuna mmoja nilimpigia alipopokea nikaishia tu kumwambia wrong number nikakata simu.

unamwogopa mumeo ye ni mungu wacha ujinga otherwise kama ni bek tatu hutaki kujishugulisha na chochote unaogopa ukwasi wa maisha ndo shida hiyo unavumilia ujinga na kuumia rohoo wakati maisha matamu kabisa ukiwa na msimao wako
 
mume wangu huwa anawasiliana meseji za mapenzi na wasichana...halafu la kushangaza ni wa aina tofauti tofauti,nikimwuliza anasema sio wapenzi wake.tena ananiambia niachane na simu yake...nifanyeje jamani?

love messages namtumia sana...sijui nifanye nini! na hayo mengine anapata

Well...well....
Multi IDs zinataka umakini...
BTW: Kwa nini unachimbachimba simu ya mumeo?
 
Huyo ni mzinzi kabisa siyo mwaminifu kabisa cha msingi waone viongozi wa dini au wazazi wa pande zote muongee myamalize.
 
mume wangu huwa anawasiliana meseji za mapenzi na wasichana...halafu la kushangaza ni wa aina tofauti tofauti,nikimwuliza anasema sio wapenzi wake.tena ananiambia niachane na simu yake...nifanyeje jamani?

Anza tabia ya kumtumia mumeo love message. Inaonekana zinamkuna sana na akiendelea kutumiana na hao wasichana utamkosa mazima. Jitahidi kuwa mbunifu na kumkamata mumeo kwa mahaba mbalimbali. Usibweteke tu eti kwa kuwa ameshakuoa na umemzalia mtoto.

love messages namtumia sana...sijui nifanye nini! na hayo mengine anapata
Dah!!! Umeniacha hoi kwa jinsi unavyotumia multiples ID's kwenye kujibu watu yaani PRINCIPESSA na NYABWIRE wanamjibu HAPPINESS WIN
 
Dah? pole bi dada lkn hiyo ni haki yako kutaka kujua hizo msg zinatoka wapi?

mbona huyo mwanaue ana2mia ubeberu, hebu jaribu kumtumia mtu wa karibu yake aweze kumuuliza kuhusu malalamiko yako

halafu kingine unaweza sema wanawake tofauti kumbe ni mmoja bt no.nyingi na majina tofauti hebu ziftilie

kama ni just a friend mwambie siku apige na aweke loudlyspeake

punguza upole bibie kuwa ngangali

MNATUTISHA TULIO MABACHELA JAMANI KILA SIKU VILIO KWENYE NDOA...WHY?
 
mume wangu huwa anawasiliana meseji za mapenzi na wasichana...halafu la kushangaza ni wa aina tofauti tofauti,nikimwuliza anasema sio wapenzi wake.tena ananiambia niachane na simu yake...nifanyeje jamani?
Amini aiamini, ushauri mzuri ni huo alokupa yeye mwenye... achana na simu yake, utapata ugonjwa wa moyo bure
 
African darkness mind kill many & many will still die, unaona tatizo una palilia, u don't react, ushahidi unao, eti upo kimya? Wait gonjwa likikushika na kifo unakiona utapata akilli, this reminds me a lot in my 10 yrs back of sec school life, kuna watu ili waelewe njia ni moja tu FIMBOOOOOO SANA, ATAFAULU NA KUWA MWANAFUNZI BORA, sasa in real life, FIMBO YA MWALIMU DUNIA NI KUWA NA MAISHA HATARI MWISHOE MAUTI KABLA YA MUDA YATAKUFIKA, maana una macho huoni, una masikio husikii, una ubongo bongolala, una pua hainusi, una ngozi iliyo na ganzi, una ulimi usio jua laza, una mdomo uko bubu, una uchi unatumika vibaya, una mikono hufanyii kazi, una everything for a reason not by mistake hata kidogo na mbaya zaidi baadhi ya vitu mungu alivyokujali unatumia vibaya kheri usingetumia au ungetumia vizuri kuwa na maisha bora, utajiju wait gonjwaaa sina advice kwako
yote umemaliza,nilimzika ndugu yangu imenipa funzo kubwa
 
Dah!!! Umeniacha hoi kwa jinsi unavyotumia multiples ID's kwenye kujibu watu yaani PRINCIPESSA na NYABWIRE wanamjibu HAPPINESS WIN
sikulijua hilo,akili yako inafanya kazi.na isije ikawa story ya kutunga?maana jf nayo,mmmmh
 
Back
Top Bottom