Nyabwire
Member
- Jun 12, 2009
- 40
- 1
Anza tabia ya kumtumia mumeo love message. Inaonekana zinamkuna sana na akiendelea kutumiana na hao wasichana utamkosa mazima. Jitahidi kuwa mbunifu na kumkamata mumeo kwa mahaba mbalimbali. Usibweteke tu eti kwa kuwa ameshakuoa na umemzalia mtoto.
love messages namtumia sana...sijui nifanye nini! na hayo mengine anapata