Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
What is the best time to do exercise? Asubuhi au jioni? Kukimbia km 50 sio kitu kidogo. Lazima ujipange kweliTripo9 mbona kama unalijua suluhisho la tatizo lako??? Anza mazoezi ya kukimbia asubuhi kama kilomita 50 kwa siku, ni simple and affordable!!
Matokeo utayaona mapema sana. Usikubali mtu akikwambia punguza kula, labda vyakula vya mafuta na sukari kama bia, soda and chocolates!!