Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Jamani, nasikiliza power breakfast ya Clouds FM. Mara nasikia kuwa serikali ya SA imeridhia uuzwaji wa ngozi iliyokatwa kutoka kwa watoto wadogo -tohara. Ngozi hii hutumuka kutengeneza cream maalum ya kuondoa wrinkles hasa kwa wanawake. Habari ndo hiyo..................