Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
Siku hizi kumekuwa na mtindo ambapo mtu mwenye kiwanja anamkodishia mtu mwingine ajenge frem ya duka then awe mpangaji.
Sasa huyu jamaa yangu kaingia mkataba wa aina hii na mwenye kiwanja na baada ya kujenga banda ndio wakakaa chini kuandikiana mkataba baaada ya kujua gharama halisi. Lakini mwenye kiwanja amegeuka na hataki kwenye mkataba kuwepo na kipengele cha kurudisha gharama kwa madai eti akiwa anafanya biashara si atakuwa anajilipa gharama alozotoa? Mbaya zaidi anataka kodi ilipwe kama kawa.
Jamani wenzetu wa ardhi na wanasheria hii inasomekaje? Na siku jamaa akitaka kuondoka hatima itauwa nini? Tumsadie mawazo na facts.
Sasa huyu jamaa yangu kaingia mkataba wa aina hii na mwenye kiwanja na baada ya kujenga banda ndio wakakaa chini kuandikiana mkataba baaada ya kujua gharama halisi. Lakini mwenye kiwanja amegeuka na hataki kwenye mkataba kuwepo na kipengele cha kurudisha gharama kwa madai eti akiwa anafanya biashara si atakuwa anajilipa gharama alozotoa? Mbaya zaidi anataka kodi ilipwe kama kawa.
Jamani wenzetu wa ardhi na wanasheria hii inasomekaje? Na siku jamaa akitaka kuondoka hatima itauwa nini? Tumsadie mawazo na facts.