Huyo kajua udhaifu wako, tena huyo hata mzigo unapewa kwa masharti.Usimfukuza ila fanya yafuatayo:
1. Acha kufanya kazi zote za kike kama kupika na kufua, kuwa mwanaume wa kiafrika,
2. Mtafutie mchepuko na jitahidi aujue, hii huwa ndio dawa yao,
3.Acha kuomba omba misamamha isiyo na umuhimu hata...