Naachana na mke wangu rasmi

Naachana na mke wangu rasmi

hajanizidi kipto il NIMEMPA uhuru hapa nyumbani nimemuweka wzi kwa kila kitu soo ndo maana anajiamin i sana
hapo dawa akiondoka usimfuate na wala usimwambie chochote ninakuambia wiki haitaisha atarudi mwenyewe na akirudi pia usimsemeshe mbona adabu atashika sijui miwanawake mingine ikoje vile hapo anacheza na akili zako tu
 
Mvumilie usionyeshe difference.. Siku akinuna tena usihangaike kumuomba msamaha...akiondoka usimwambie rudi.. Ondoka asbh funga nyumba nenda kazin.. Ukichoka kupika kula hotelin kama unawatoto wapeleke kwenu au kwa dada /wako kwa muda huku unaangalia mwenendo wa mkeo... Asiporudi panga mipango mingine tafuta msichana wa kazi awalee watoto... Ukipata mwenza wa kuendana na wewe utaoa. . Ila nakushauri usikurupuke...
 
Anapima upepo. Na dawa kama zinafanya kazi na naona ziko poa. Sio kwa ubwege huo. Jitahidi mganga asifiwe ni kiboko, sio kwa uzoba huo.
 
Wakubwa wenzangu habarini za weeekend kwangu mimi weekend yangu haiko powaa kabisaa

Mke wangu ni mzuri ana hofu ya mungu ana kazi pia ananipenda ila huwa ana tabia ya kununa hovyo yaani hataki kukosolewa yaani kila nikimkosoa tutakaa siku tatu bila kuongea akiwa kanuna yaani lazma nimuombe msamaha hata kama kanikosea

Pia huwa ana tabia ya kunijaribu sanaa kama kuna kipindi nilimkuta anaongea na mtu usiku nikamwambia SIKUAMINI nakumbuka usiku ule ule alichukua begi lake akaondoka yaaani ndugu zangu nilifikilia sanaa nilipoksea sikupaonaa ila sikukata tamaa nikzidi kumwomba arudi home niliomba msamaha sanaa kisha akakuali akarudi

Kipindi kingine nilipika viazi na nyama nikazidisha mchuzi sikuamini macho yangu yaaani mamaa alikasilika sanaaa akakataa kula akaondoka kwa hasiraa kwenda kulala kwa dadaake kule pia nilitumia nguvu kubwa kumrudisha

Sasa hii ya sasa ndo imenikatisha tamaa yaani niko kikazi tanga mke wangu kuwa anapiga simu mda wote akidai kanimis nikamwambia ntarudi alhamis but nilipata emergrncy mke akakasirika sanaaa huku akisistiza simthamini pia akidai tuachene tuu sasa jana ndio nilirudi home akanipokea vizuri tuu nikamwomba msamaha kwa kumpa feki promis akasema kanismehe kumbe ana yake moyoni
alikataa kuongea na mimi tangu jana bila mimi kujua sababu hadi asubuhi namuaga naenda kazini kumalizia kipolo cha kazi akakasilika zaidi akaondoka pia kazini kwake bila hata kuniaga kitendo kile kimenishangaza sanaaa

Sasa ntaka nifanye mmamuzi magumu naona antaka ajifanye mwanamme ndani ya nyumba ntaka nimpe taraka naombeni ushauri
Sawa
 
Kuomba msamaha hovyo hovyo yaani bado kidogo aanze kukupa sketi na magauni yake alafu yeye awe anavaa hizo suruali na suti zako.
Mwanamke havutiwi na mwanaume mtiifu(weak) kama wewe bali huvutiwa na wanaume harsh/strong kuna mtu yupo nyuma yake ambaye ana vigezo vya strong kuliko wewe so hapo cha kufanya mkalishe kikao kabla ya kuamua kumuacha unguruma mwambie kuanzia leo ,kununa,kuzila na kuondoka kienyeji kufe la sivyo ukienda usirudi kubabako zako na pia komesha ishu ya kujishusha shusha na kuomba misamaa hovyo as if we ndo umeolewa.
ILI UWEZE KUFANYA HAYO INABIDI UWE TAYARI UMEMFUTA MOYONI MWAKO MAANA HUYO AMESHAJUA WE HUNA MAAMUZI YA KUMUACHA
 
Wakubwa wenzangu habarini za weeekend kwangu mimi weekend yangu haiko powaa kabisaa

Mke wangu ni mzuri ana hofu ya mungu ana kazi pia ananipenda ila huwa ana tabia ya kununa hovyo yaani hataki kukosolewa yaani kila nikimkosoa tutakaa siku tatu bila kuongea akiwa kanuna yaani lazma nimuombe msamaha hata kama kanikosea

Pia huwa ana tabia ya kunijaribu sanaa kama kuna kipindi nilimkuta anaongea na mtu usiku nikamwambia SIKUAMINI nakumbuka usiku ule ule alichukua begi lake akaondoka yaaani ndugu zangu nilifikilia sanaa nilipoksea sikupaonaa ila sikukata tamaa nikzidi kumwomba arudi home niliomba msamaha sanaa kisha akakuali akarudi

Kipindi kingine nilipika viazi na nyama nikazidisha mchuzi sikuamini macho yangu yaaani mamaa alikasilika sanaaa akakataa kula akaondoka kwa hasiraa kwenda kulala kwa dadaake kule pia nilitumia nguvu kubwa kumrudisha

Sasa hii ya sasa ndo imenikatisha tamaa yaani niko kikazi tanga mke wangu kuwa anapiga simu mda wote akidai kanimis nikamwambia ntarudi alhamis but nilipata emergrncy mke akakasirika sanaaa huku akisistiza simthamini pia akidai tuachene tuu sasa jana ndio nilirudi home akanipokea vizuri tuu nikamwomba msamaha kwa kumpa feki promis akasema kanismehe kumbe ana yake moyoni
alikataa kuongea na mimi tangu jana bila mimi kujua sababu hadi asubuhi namuaga naenda kazini kumalizia kipolo cha kazi akakasilika zaidi akaondoka pia kazini kwake bila hata kuniaga kitendo kile kimenishangaza sanaaa

Sasa ntaka nifanye mmamuzi magumu naona antaka ajifanye mwanamme ndani ya nyumba ntaka nimpe taraka naombeni ushauri
Hivi wanawake hawa wenye hofu ya Mungu si ndiyo hawa hawa wanaoliwagwa na wachungaji au kuna sampuli nyingine? Never trust mwanamke anayejifanya mcha Mungu kwani wengi wao ni makahaba tu wanaosubiri kuombwa uroda na Mchungaji kwa ujira wa kutolewa mapepo tu. Iła kuna dalili kubwa kuwa huyu mkeo anafyekwa pori lake na muhuni wa hapo kitaa na ndiyo maana anakuona kama kisanamu fulani hivi wa kuchezea, sababu ana uhakika wa kuliwa anapojisikia.
 
Kuomba msamaha hovyo hovyo yaani bado kidogo aanze kukupa sketi na magauni yake alafu yeye awe anavaa hizo suruali na suti zako.
Mwanamke havitiwi na mwanaume mtiifu(weak) kama wewe bali huvutiwa na wanaume harsh/strong kuna mtu yupo nyuma yake ambaye ana vigezo vya strong kuliko wewe so hapo cha kufanya mkalishe kikao kabla ya kuamua kumuacha unguruma mwambie kuanzia leo ,kununa,kuzila na kuondoka kienyeji kufe la sivyo ukienda usirudi kubabako zako na pia komesha ishu ya kujishusha shusha na kuomba misamaa hovyo as if we ndo umeolewa.
ILI UWEZE KUFANYA HAYO INABIDI UWE TAYARI UMEMFUTA MOYONI MWAKO MAANA HUYO AMESHAJUA WE HUNA MAAMUZI YA KUMUACHA
Sijui kama alitekeleza hayo tangia 2016

Eti ntabudjo
 
Ongeza mke pangisha huko kitaa!akinuna nenda kwa huyo mwingine Kaa hats siku mbili rudi kila mara kuona kama anaendeleaje!!kuhusu kuachana mwache aombe talaka mwenyewe!usimwache wewe kwanza!

Ndivyo tufanyavyo wanaume kwenye sarakasi za wanawake kwenye ndoa!!Ndio maana maandiko yaliruhusu mitara halafu Dini za mfumo jike kama Roman zikatuletea ndoa za make mmoja!
 
Wakubwa wenzangu habarini za weeekend kwangu mimi weekend yangu haiko powaa kabisaa

Mke wangu ni mzuri ana hofu ya mungu ana kazi pia ananipenda ila huwa ana tabia ya kununa hovyo yaani hataki kukosolewa yaani kila nikimkosoa tutakaa siku tatu bila kuongea akiwa kanuna yaani lazma nimuombe msamaha hata kama kanikosea

Pia huwa ana tabia ya kunijaribu sanaa kama kuna kipindi nilimkuta anaongea na mtu usiku nikamwambia SIKUAMINI nakumbuka usiku ule ule alichukua begi lake akaondoka yaaani ndugu zangu nilifikilia sanaa nilipoksea sikupaonaa ila sikukata tamaa nikzidi kumwomba arudi home niliomba msamaha sanaa kisha akakuali akarudi

Kipindi kingine nilipika viazi na nyama nikazidisha mchuzi sikuamini macho yangu yaaani mamaa alikasilika sanaaa akakataa kula akaondoka kwa hasiraa kwenda kulala kwa dadaake kule pia nilitumia nguvu kubwa kumrudisha

Sasa hii ya sasa ndo imenikatisha tamaa yaani niko kikazi tanga mke wangu kuwa anapiga simu mda wote akidai kanimis nikamwambia ntarudi alhamis but nilipata emergrncy mke akakasirika sanaaa huku akisistiza simthamini pia akidai tuachene tuu sasa jana ndio nilirudi home akanipokea vizuri tuu nikamwomba msamaha kwa kumpa feki promis akasema kanismehe kumbe ana yake moyoni
alikataa kuongea na mimi tangu jana bila mimi kujua sababu hadi asubuhi namuaga naenda kazini kumalizia kipolo cha kazi akakasilika zaidi akaondoka pia kazini kwake bila hata kuniaga kitendo kile kimenishangaza sanaaa

Sasa ntaka nifanye mmamuzi magumu naona antaka ajifanye mwanamme ndani ya nyumba ntaka nimpe taraka naombeni ushauri
we vipi mbona hayo ni mambo madogo tu,ndiyo umuache mkeo kweli?
 
Wakubwa wenzangu habarini za weeekend kwangu mimi weekend yangu haiko powaa kabisaa

Mke wangu ni mzuri ana hofu ya mungu ana kazi pia ananipenda ila huwa ana tabia ya kununa hovyo yaani hataki kukosolewa yaani kila nikimkosoa tutakaa siku tatu bila kuongea akiwa kanuna yaani lazma nimuombe msamaha hata kama kanikosea

Pia huwa ana tabia ya kunijaribu sanaa kama kuna kipindi nilimkuta anaongea na mtu usiku nikamwambia SIKUAMINI nakumbuka usiku ule ule alichukua begi lake akaondoka yaaani ndugu zangu nilifikilia sanaa nilipoksea sikupaonaa ila sikukata tamaa nikzidi kumwomba arudi home niliomba msamaha sanaa kisha akakuali akarudi

Kipindi kingine nilipika viazi na nyama nikazidisha mchuzi sikuamini macho yangu yaaani mamaa alikasilika sanaaa akakataa kula akaondoka kwa hasiraa kwenda kulala kwa dadaake kule pia nilitumia nguvu kubwa kumrudisha

Sasa hii ya sasa ndo imenikatisha tamaa yaani niko kikazi tanga mke wangu kuwa anapiga simu mda wote akidai kanimis nikamwambia ntarudi alhamis but nilipata emergrncy mke akakasirika sanaaa huku akisistiza simthamini pia akidai tuachene tuu sasa jana ndio nilirudi home akanipokea vizuri tuu nikamwomba msamaha kwa kumpa feki promis akasema kanismehe kumbe ana yake moyoni
alikataa kuongea na mimi tangu jana bila mimi kujua sababu hadi asubuhi namuaga naenda kazini kumalizia kipolo cha kazi akakasilika zaidi akaondoka pia kazini kwake bila hata kuniaga kitendo kile kimenishangaza sanaaa

Sasa ntaka nifanye mmamuzi magumu naona antaka ajifanye mwanamme ndani ya nyumba ntaka nimpe taraka naombeni ushauri
Huyo kajua udhaifu wako, tena huyo hata mzigo unapewa kwa masharti.Usimfukuza ila fanya yafuatayo:
1. Acha kufanya kazi zote za kike kama kupika na kufua, kuwa mwanaume wa kiafrika,
2. Mtafutie mchepuko na jitahidi aujue, hii huwa ndio dawa yao,
3.Acha kuomba omba misamamha isiyo na umuhimu hata ukikosea we komaa tu.

MWISHO:
Si vizuri kijana wa kiume kumuoa mke wa mahusiano ya kwanza, namaanisha kuna hasara kwa mwanaune kuingia kwenye ndoa akiwa na bikra ya kiume. We ulioa ukiwa bikra mwanaume haya ndio matokeo.
 
Hivi wanawake hawa wenye hofu ya Mungu si ndiyo hawa hawa wanaoliwagwa na wachungaji au kuna sampuli nyingine? Never trust mwanamke anayejifanya mcha Mungu kwani wengi wao ni makahaba tu wanaosubiri kuombwa uroda na Mchungaji kwa ujira wa kutolewa mapepo tu. Iła kuna dalili kubwa kuwa huyu mkeo anafyekwa pori lake na muhuni wa hapo kitaa na ndiyo maana anakuona kama kisanamu fulani hivi wa kuchezea, sababu ana uhakika wa kuliwa anapojisikia.
Mwanamke ana hofu ya Mungu lakini anamdharau Mumewe..
 
Nadhan kipindi Hicho alikua anakutesea uzuri wake anaona anaweza kuolewa siku yoyote ukimuacha, hope mshapta watoto na umbo limebadilika hawez kukutesa Tena kwa uzuri wake mana anajua hawez kuolewa Tena alipofikia. Naamin kama mlivuka salama bs mnaish salama sasa maana utoto umemuisha
 
Back
Top Bottom