Recent content by Ntuya

  1. N

    Ushuhuda: Madhara mbalimbali ya Vidonge vya Uzazi Wa Mpango

    Elimu tamu hii, fungukeni wadau tupate nondo za maisha halisi ya unyumba.
  2. N

    Benki yenye riba nzuri kwa akaunti za muda maalum i.e fixed deposits rates

    Mkuu asikudanganye mtu hakuna bank inayoweza kukupa asilimia kubwa unless una mipesa mingi mno. nakushauri uwaona taasisi moja inaitwa UNIT TRUST OF TANZANIA inayoendesha mifuko ya UMOJA FUND, WATOTO FUND, JIKIMU FUND na WEKEZA MAISHA FUND. Wako SUKARI HOUSE GHOROFA YA PILI pale karibu na...
  3. N

    "CRAZY Things We Do For Love"...

    Pole sana fazaa. Likuepukalo lina kheri nawe!
  4. N

    Kila siku ye anataka tu, Mchana akirudi kazini usiku.....

    Kamua baba, kamua baba, kamua usitumie hirizi. jamaa ni nouma
  5. N

    PICHA: Lema akiwa Jijini London akikagua chopa jipya la M4C

    CCM watakoma , mpaka ifike 2015, povu litakuwa limetoka lote na ndo kifo chao. Go go go CDM
  6. N

    Wanawake mnatakiwa kutafakari kwa kila maamuzi unayochukua kwani wakati mwingine huweza kuyajutia.

    maloveeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee. Billie njia yako nimeipenda lazima bibie awe mpole na ataomba msamaha hata kama kosa si lake.
  7. N

    Have u ever loved a woman?

    malavidavi, jf is never boring. hata kama huna kademu unaenjoy maneno matamu matamu kutaoka kwa akina sakapal
  8. N

    Ushauri wako unahitajika!!!!!

    Yawezekana amekuweka kwenye mzani, piga moyo konde then tupa tena kete. be a man, kuwa na roho ya paka then ukiona anachomoa tena m-delete then kama na yeye atakuwa interested atakuja kukutafuta mwenyewe.
  9. N

    naogopa sana,..naomba msaada wakuu

    tupeni darasa waungwana wazoefu
  10. N

    Vitu ambavyo huwapagawisha wanaume wamwonapo mwanawake.......!

    mapenzi mapenzi mapenzi, mbona ww mwanamke mzuri, mrembo na shule umekwenda lakini hauolewi??
  11. N

    Who cares

    Kazi kweli kweli. Mambo ya malezi
  12. N

    Kikwete for London Family Planning summit

    vasco dagama as always.
  13. N

    Mch. Msigwa 'afyatuka' Bungeni...

    Yap yap ni kweli kabisa haiwezekani akili ndogo iongoze akili kubwa halafu uone maendeleo. Mch Msigwa mwaga nondo, mpaka 2015 lazima watanzania watakuwa wameamka na magamba yote lazima tuyapige chali. Hapana akili ndogo kuongoza akili kubwa mana ni sawa na kipofu kuongoza lazima mtadumbukia wote...
Back
Top Bottom