naogopa sana,..naomba msaada wakuu

kauga umenena

ndoa kua tulivu na endelevu ni utulivu wa wanandoa husika na sio miaka

Na Kukua kwa mtu sio miaka ni kufunguka kichwani
 
Last edited by a moderator:
kuna watu na 30 au 40 ndoa zina wazingua na wengine bellow 30 wanapeta tu... jiamini beba jiko maisha hayafanani na ndoa hazina copy and paste. Fanya maamuzi na be responsible.
 
kwanza nakupa hongera, wala usiogope broo, kikubwa ni uwe umelizika nae kitabia na mengneyo, haina shida weka kitu ndani ujinafasi kwa raha zako!
 
Inategemea kama kuna kitu cha kuwasubirisha, mf shule nk. Kama hamna, fanya tu uoe.
 
usijilazimishe kwa sababu ya kumridhisha mtu hata kama unampenda vuta subira ikifika muda muafaka wala hautakaa uombe ushauri utajikuta mwenyewe unataka mfunge ndoa.
 
Nivizuri ukasubiri kama hauko tayari! Jaribu kukaa nae chini umueleweshe unacho maanisha ata kuelewa sana. Ndoa ni zaidi ya kulala kitanda kimoja!
 
Ni kweli hata wanaoana wakiwa na umri wa zaidi ya mhusika i mean over 24 wanachemsha..
But how do you see 24 kwa 21?...hawa bado ni watoto jamani..
Akili za kufanyia kazi na akili za kutunza familia au kuendesha ndoa kwangu mimi naona kuna tofauti..
Ndoa is like an institution ndugu zangu..please habby and your gal be mature enough before you get in..

Snowball u can imagine....mimi katika umri huo nishaingia ndoani tayari! hadi sasa nipo and nothing has hapenned. kama alivosema Kaunga umri haujalishi sana katiba inasema ukifikisha miaka 18 tayari we ni mtu mzima. jengine ni kuwa wanaweza kuoana wakatafuta pamoja, I mean ile mnaanza na stuli moja na kitanda, basi. Mapenzi yakiwemo, wala hakuna tatizo .
 
Last edited by a moderator:
Unaposema sehemu ya kukaa ipo na yeye anaweza ku-finance msosi unamaanisha nini?
Kama hufanyi kazi, huwezi kujilipia nyumba (unless una ya urithi) na huwezi kununua chakula achana na habari ya kuoa. Kama unaishi alone na unaweza kujikimu, tualike tuje harusini. Otherwise haipendezi ukaoa ukaendelea kukaa nyumbani, its a formulae for disaster!

Yaan hata yeye anaweza kama mimi naona pesa yangu haitoshi. Nyumba nimepewa ndogo ya couples
 
thanx ver much guyz nimefunguka vibaya sana now i knw siko tayari. Sio ili nifanye uzinifu laa bali nimpe muda bcoz all da time gals are ready for marriage
 
mi nahisi inategemea na akili za mtu maana ukishaelewa maana ya ndoa na ndoa inahitaji nini haina haja ya kujua umri sasa ni akili za mtu. ndoa ni ndoano kama hautakubali wala kujijua jinsi ya kuisha kwenye misingi ya ndoa yenyewe. kaka yangu jua hayo na kama mmejipanga pia kimaisha unaweza kuoa.
 
Yeye yuko tayari kwa ndoa na wanawake walio wengi huwa wanapenda na huwa tayari kwa ndoa wakati wote, lakini wewe je? Moyo wako uko tayari? Akili yako imeridhia? Una kijikazi cha kuja kuihumia familia yako na kutunza heshima yako kama baba mwenye nyumba? Au ndo unategemea finance za misosi toka kwake alivyotabanaisha?

Kama majibu ni ndiyo, mi sioni tatizo, shirikisha ndg zako wa karibu na wazazi pia then jitwalie mwali ukahangaike naye! Umri si tatizo sana kama tayari wote mna upeo wa kutosha wa maisha na yeye ana mapenzi ya dhati kwako na si hamu ya kuolewa tu! Nilishawahi kuhudhuria ndoa zaidi ya moja mojawapo ikiwa ya mdogo wangu ambazo wahusika walikuwa na umri kama wenu na mpaka sasa bado zimesimama vzr.

Thanx much. Umenifunga to some extent
 
thanx guyz ur arguement zenu zina nifungua naanza kujua chakufanya
 
Baba yangu alioa akiwa na miaka 23 mama 21 na waliweza kaa pamoja kwa miaka zaidi ya 20...na hata ketengana kwao ziwezi kukuhusisha na kuoana wakiwa wadogo.

Kuna raha yake kuoa na kuzaa ukiwa unadai, hata watoto wanafurahi kuwa na wazazi vijana na nyie kuwa na watoto wakati bado mndai.

Tatizo naloliona ni wewe kujiunga na JF ukiwa mdogo...unajua umeingiwa na woga wa kuoa sababu ya kusoma shuhuda humu za mifano ya ndoa ndoano...Sishauri vijana wadogo kuanza kupitia nyuzi za kukatisha tamaa...utakuwa umekuwa affected bila kujua. Lol

Kuna member mmoja humu anasemaga kuwa ni asilimia ndogo sana ya ndoa zenye mikwaruzo sugu...ila hao wachache wanasimulia sana matatizo yao na kufanya jamii iamini kuwa ndoa zote ni ndoano which is not true. Ndoa raha bana kuna vicheko...kuna uhakika wa company...kuna furaha ya watoto...above all kuna raha ya kuwa responsible (Mother or father) kutegemewa na familia raha bana kuna kupa meaning of life.

Mi leo nikipanda ndege nasali isianguke nikafa si kwa kuwa napenda sana kuishi ila najua kuna wanaonitegemea kama wife and mother.
 
muoe umuondelee nuksi huyo binti.... baada ya hapo hata mkiachana yeye atakuwa ameridhika
 
Snowball u can imagine....mimi katika umri huo nishaingia ndoani tayari! hadi sasa nipo and nothing has hapenned. kama alivosema Kaunga umri haujalishi sana katiba inasema ukifikisha miaka 18 tayari we ni mtu mzima. jengine ni kuwa wanaweza kuoana wakatafuta pamoja, I mean ile mnaanza na stuli moja na kitanda, basi. Mapenzi yakiwemo, wala hakuna tatizo .

Una bahati sana braza..ninazo cases kadhaa za walioingia ndoani na umri huo na bahati mbaya they have performed badly...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom