Recent content by Ntu Mpyaaa

  1. Ntu Mpyaaa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania She is having my baby, I can't get married to her!

    Kwani na wew ni miongoni mwa waliokataliwa mkuu
  2. Ntu Mpyaaa

    JamiiForums Tanzania Yanga kwa sasa tunapambana na Chama's Goal Challenge kila match tutaweza tu

    We unavyoona huyo chizi ni wa madimbwini! hilo ni kolokoloni mwenzenu sema tu anatumia mchome style
  3. Ntu Mpyaaa

    JamiiForums Tanzania Mikono ya Jumbe yafunguliwa pingu na Polisi ikiwa imevimba kwa kufungwa pingu Jana Baada ya kutekwa

    Tulipofikia saizi hii nchi wala haiongozwi kwa misingi ya katiba na sheria, bali inaongozwa kwa fikra binafsi za yule mtu.
  4. Ntu Mpyaaa

    JamiiForums Tanzania Pamoja na ubingwa wa ndondokela, Arsenal inapaswa kumfukuza Mikel Arteta

    Naunga mkono hoja
  5. Ntu Mpyaaa

    JamiiForums Tanzania Ningefurahi Totenham Hotspurs ishuke daraja kuliko Westham

    Arteta afukuzwe Arsenal kwa kuwa amewapa kombe
  6. Ntu Mpyaaa

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mashabiki wa arsenal yaani kunywa bia mbili tu tayar umeshaanza kuongea kiarabu!
  7. Ntu Mpyaaa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rafiki yangu amenikasirikia kisa mwanamke ambae hajawahi hata kumu-Approach, Je? Ni mapenzi ya dhati!! Au anatafuta sababu?

    We mjaluo una matusi ya jumla jumla kiasi hiki! sa nitauponza maana yake nini!
  8. Ntu Mpyaaa

    JamiiForums Tanzania FULL TIME: Chelsea 0-1 Manchester City | FA Cup Final | Wembley Stadium | 16 May 2026!

    The citizens unawapenda, ila ukiita kwa kiswahili "timu ya wananchi" ndo hupendi!
  9. Ntu Mpyaaa

    JamiiForums Tanzania Akufukuzae Akwambii Toka, Kundi la Tanzania Kombe la dunia wanawake 2026 Poland

    Poleni sana kwa kupangwa group moja na timu zangu, maana mi toka zamani nashabikia Brazil, Canada na England
  10. Ntu Mpyaaa

    JamiiForums Tanzania Akufukuzae Akwambii Toka, Kundi la Tanzania Kombe la dunia wanawake 2026 Poland

    Kwa kweli hapo mumeyavagaa mutajua wenyewe mi simo
  11. Ntu Mpyaaa

    JamiiForums Tanzania FULL TIME: Chelsea 0-1 Manchester City | FA Cup Final | Wembley Stadium | 16 May 2026!

    Ifike wakati sasa gadiola sijuw nani huyu kocha man city afukuzwe England (mark kwanza hapo nilie kidogo) Maana uwepo wake tunaoumia ni sisi mashabiki wa timu zingine.
  12. Ntu Mpyaaa

    JamiiForums Tanzania Nimelipia hostel Dar kwa wanaojiita manabii, nimesomewa vifungu na shehe, nimechanjwa sana usukumani, nimefanya online remedies. Yote haya batili

    Acha kuharibu deal za watu, hii ni nchi ya madili na wew tafuta namna upige
  13. Ntu Mpyaaa

    JamiiForums Tanzania Pigo Kubwa Kwa Iran: Rais Xin Ping wa China Amesema China na Marekani Zinatakiwa Kuwa Washirika na Siyo Washindani

    Hao jamaa wawili naona wameamua kuifanyia dunia unafiki, na mimi nimekaa hapa nasubiri kuona simba na yanga wanakua washirika na kuacha kuwa washindani
  14. Ntu Mpyaaa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rafiki yangu amenikasirikia kisa mwanamke ambae hajawahi hata kumu-Approach, Je? Ni mapenzi ya dhati!! Au anatafuta sababu?

    Nilikua najua lengo la jamaa ila tatzo binti mwenyewe alipenda awe na mimi sa ningefanyaje? Halafu jamaa mi bado namchukulia kama rafiki japo naona anajenga chuki za bure tu ikiwa hata mwali mwenyewe hakuwahi kuwa na uhusiano nae ndo kwanza alitaka kuanza
Back
Top Bottom