Ifike wakati sasa gadiola sijuw nani huyu kocha man city afukuzwe England (mark kwanza hapo nilie kidogo)
Maana uwepo wake tunaoumia ni sisi mashabiki wa timu zingine.
Hao jamaa wawili naona wameamua kuifanyia dunia unafiki, na mimi nimekaa hapa nasubiri kuona simba na yanga wanakua washirika na kuacha kuwa washindani
Nilikua najua lengo la jamaa ila tatzo binti mwenyewe alipenda awe na mimi sa ningefanyaje?
Halafu jamaa mi bado namchukulia kama rafiki japo naona anajenga chuki za bure tu
ikiwa hata mwali mwenyewe hakuwahi kuwa na uhusiano nae ndo kwanza alitaka kuanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.