Mkuu kuwa serious kidogo! dar-masasi ni mwendo kama wa km 600 ndo iwe kufika mwezi december imetengenezwa? wakati zile km 60 za masasi-newala wanakwenda kumaliza mwaka wa pili sasa bado wanahangaika.
Bila shaka tangazo lipo mahala pake, hili ni tangazo kwa members wote wa JF,
Bila kubagua mtu hata nyie wapiga nyeto akina Mbaga Jr uko m.m.u munatangaziwa kuwa tokeni huko kwenye majukwaa yenu pendwa,
Na tukutane pale jukwaa la siasa kwa ajili ya kupokea ripoti ya sheikh chande,
Jamani siasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.