Recent content by Ntonku Kuvukiland

  1. Ntonku Kuvukiland

    Tumekosa mkopo hadi Awamu ya 3

    Mimi pia niliomba mkopo huo,na nilimaliza f4 2005,lkn kila lot ikitoka simo inawezekana ukikaa muda mrefu hupewi mkopo?yaan hapa niko chuon Mwenge nahc hawa Wakatoliki wakianza kudai ada yao watanitoa baru.Cjui nikusanye kilicho changu mapema nijikatae?lkn bado inaniuma hela ya registration...
  2. Ntonku Kuvukiland

    Selection vyuo vikuu: Fomu ya kujiunga, taarifa za vyuo na kozi

    Itakuwa vizuri kama tutafahamishana taarifa mbalimbali,kwa mfano mimi nataka kujua zile joining instructions wameshaanza kuzituma kwa wanafunzi waliochaguliwa?au unadownload tu mtandaoni,maana nataka kuitumia kuomba release letter hapa kazini.
  3. Ntonku Kuvukiland

    Kumshika mkono amekuwa mkali balaa

    Kwani ulimwendea kama ASSET au LIABILITY. ?
  4. Ntonku Kuvukiland

    Taharuki uchaguzi : CCM waanzisha tv station kwa dharura kutumia miundombinu ya TBC

    Na litivii lenyewe hatuliangalii.kwanza nikimkuta wife au mtoto kaswitch uhuru tv namjeruhi wallah.
  5. Ntonku Kuvukiland

    Majanga haya tusaidiane wakuu

    Kakua huyo mruhusu aende kwa mumewe.
  6. Ntonku Kuvukiland

    Nimekamatika kwa penzi la PS wangu, Ushauri wenu please

    Kuna mwalimu wangu mmoja alikuwa anapenda kutumia hili neno pale hali inapoleta Sintofaham!Alipenda kusema!.....NO WAY...!Kwa hiyo hata ww Ni No way u can leave that girl Un-Done.
  7. Ntonku Kuvukiland

    Nitamuachaje mmama huyu anae nizidi miaka tisa?

    years are just numbers!refer diamond&Zari
  8. Ntonku Kuvukiland

    Hatua 6 za kumzuzua mwanamke

    Yaani point zote hizo,hakuna hata moja ya Mpe hela mara kwa mara?
  9. Ntonku Kuvukiland

    Someni hapa waungwana mnisaidie mimi limenishinda

    kwa mfano nisipojibu itakuwaje?
  10. Ntonku Kuvukiland

    Binti matata asababisha maamuzi magumu

    tena anunue la majira,hahaaaaaaaa!
  11. Ntonku Kuvukiland

    Ni haki mwanaume kubebeshwa mkoba wa kike?

    mmmmh!ntajaribu kwa wife halfu nipite pale kwenye kahawa nione watasemaje?
Back
Top Bottom