Tumekosa mkopo hadi Awamu ya 3

Tumekosa mkopo hadi Awamu ya 3

kuna mxhkaji hapa katoka ndan kanipa ronja kuwa, kaambiwa kuna majina mengine bado wanayafanyia allocation! bt cjui kama kwel mim naxubl niingie

Mdogo wangu kesho ataanza safari kuja hko,ila kidogo nimepata matumaini uliposema kuwa bado kuna majina wanaprocess,
 
Jaman hata mim pia ni mmoja wapo wa wakosa mkopo lots zote, mliokwenda hselb mtuambie kuna matumain huko?
 
Index number S0204.0045.2011 bila bila kwenye LOT 1,2 na 3.LOAN BOARD fanyeni kweli basi walau Meals and Accomodation na Field plus BS
 
Mimi pia niliomba mkopo huo,na nilimaliza f4 2005,lkn kila lot ikitoka simo inawezekana ukikaa muda mrefu hupewi mkopo?yaan hapa niko chuon Mwenge nahc hawa Wakatoliki wakianza kudai ada yao watanitoa baru.Cjui nikusanye kilicho changu mapema nijikatae?lkn bado inaniuma hela ya registration 390000/=niliyotoa!Hlf nasoma Bsc.Maths&Statistics na waliandika Priority Course.
 
Jamani mim ni mmoja kati ya waliokua bodi Leo japo mbaka sa kumi na moja atukuweza kuapata nafasi ya kuingia tena ndani kama utaratibu ulivyo kwaio wakatoka wausika wawili ambao ni mmoja wapo ni meneja kama sikosea tukaongea nao ila pamoja na matatizo ya kila mmoja walichokisema wao kua j3 wanatoa tena majina ya awamu ya NNE kwaio Tuwe wavumikivu kwaio kutokana na kwamba siku zimeisha ni vema tukasubiri watoe io j3 alafu tukikosa basi tuminyane nao kama tutapata msaada mana kama siku ya kurekebsha chochote ilibidi iwe Leo
 
Back
Top Bottom