Habar wakuu, kuna kitu leo kimenishitua kidogo kuna binti mmoja tuko naye mtaa mmoja na tunaabudu kanisa moja kuonana kwetu huwa ni kanisan japo tulikuwa tunaangaliana tu hakuna mtu aliyekuwa anaenda kumpa salamu mwezake,lakin sura zetu wote zilionesha shauku ya kila mtu kutaka kuongea na mwezake sasa jumapil iliyopita tuliweza kuongozana wote kurud nyumban lakn tulikuwa watatu na kila mmoja alifurah yaan ndo ilikuwa siku ya 1 kuongea naye,pia leo jumapil baad ya ibada tulikuwa tunatakiwa twende kweny ibada nyngne tofauti na kanisa letu akaniulza utaenda nikamjibu ndio nikamuomb anipitie home akakubali, kwel badae akapita na tuanza kwenda huku tukioneshara ishara za mapenzi, nikaona nimtongoze akaniambia nimpe wiki mbil ndo atanijbu, sasa cha ajabu wakat tunarud home nikajarbu kumbembeleza apunguze hzo wiki mbil huku nikijarbu kumshka mkono akawa mkali ghafla akasema hapendwi kushikwa,wanajamvi naomb ushaur, maan hap mwanzo wakat kaja kunipitia tulikaa ziro distance na nilikuwa namshika mkono kawaida.