Hatua 6 za kumzuzua mwanamke

Hatua 6 za kumzuzua mwanamke

Hivi hizi zote applicable nyakati zote, mikoa yote ya Tanzania, kwa makabila yote?

Halafu upendekeze kwanza jina moja la kutumia kwa wanawake woooooote kabla ya hizo assumptions nyingine hatujazifikiria
 
Unatoa elimu (kwa vivulana)wakati wanaotakiwa kufanyiwa hiyo kitu (visichana)vinasikia
 
Yote mema, kubwa zaidi kumjali na kuwajibika kama mme. Siyo majukumu yote afanye yeye wewe ujivunie zawadi ya kutoka kwa Mungu. maumbile yako.
 
Hatua ya tatu hiyo
Wengine viuno vya mabanzi visivyo na bawaba
Kazi ipo hapo
Nawatakieni utekelezaji mwema
 
Kipengele cha maswala ya bank......atm......na nini mbona sioni........?..........
Wanafahamu sisi wengine ni wavuvi, pesa yetu tunaweka kwenye mkwiju. Hakuna cha Bank wala ATM...Tukim-mind mtu tunazimwaga tu...!.
 
Mpaka sasa hivi najiuliza ulikua unasearch nini google mpaka ukakutana na mambo hayo
 
Ibrahim300

Outdated sana hizi, haziwezi kumzuzua mwanamke...Labda wanawake wa huko kwenu Vikumbulu
 
Last edited by a moderator:
Outdated sana hizi, haziwezi kumzuzua mwanamke...Labda wanawake wa huko kwenu Vikumbulu

wakati apa mjini maisha ya sikuizi ukiwa na 20 mfukonii na gari mbichi namba. D ukikatiza sio chuo chochote au. ofsi yeyote una kwapua mtoto mkali. silaha sikuizi gari na helaa mtoto wa kike haruki. ayo mengine ukafanyie msanga uko na mvumero. tu?
 
Back
Top Bottom