Recent content by NTATHUBUTU

  1. NTATHUBUTU

    Nafasi za Kujitolea JKT 2014 Zimetoka

    ashazoea link lazima iwe na http.. Na kuendelea... Hahahahaaa... Kutokujua sa nyingine raaaha...
  2. NTATHUBUTU

    Kumbukumbu ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda

    i do conquer... Yaani i was there... Jamaa wana nidhamu tu za woga.. Maana hatua kumi kila kona na kwingine kule city center.. Ni afande kasimama loaded all the time 24 seven... Kiukweli.. Tuendelee tu kuwaombea.. Maana bado hali ni tete mnoo
  3. NTATHUBUTU

    Two men and a woman hanged in public

    why are they hanged hilo ndilo la kujiuliza... Kuna watu wanfanya mambo ya kihalaiki.. Hata kwenye ndoto huwezi kuotaaa miaka elfu 9 ijayo
  4. NTATHUBUTU

    Two men and a woman hanged in public

    why aee they hanged hilo ndilo la kujiuliza... Kuna watu wanfanya mabo ya kihalaiki.. Hata kwenye ndoto huwexi kuotaaa miaka elfu 9 ijayo
  5. NTATHUBUTU

    Rafiki wa karibu wa Jackie Cliff asimuliwa jinsi mrembo huyo alivyokamatwa na madawa ya kulevya China

    hahahahahaa... Una falsafa nzuri sana... Yaani we ongelea hao unaowasikia rafiki... Mimi nakutana nao kila siku wakikueleza ni jinsi gani walianza na nini kinafuata baada ya hapo... Yaani ni mateso makali... Wanapata adha sana wale watumiaji... Maana ukishaanza si kama titti la mama utasub na...
  6. NTATHUBUTU

    huyu ni diamond wa huku kwetu

    poooooooole.... Ila ukijiua wewe haina hasaraaa... Jichome potasium... Utakata bila maumivu...hahaaaa nyingine siri za kitaaabibu hawakawii kuziapply! Jokes!
  7. NTATHUBUTU

    Nahitaji Mtu wa kushirikiana naye kumsihi Mungu atende jambo

    mpendwa... Naomba nikutie moyo.. Ijapo imesemwa walipo wawili mimi nipo kati yao.. Ila pia kwa yote hayo.. Neno linatuambia.. Hakuna aliyemwomba Baba samaki akapewa nyoka wala aliyebisha asifunguliwe.. Na kwa maneno hayo ya kututia nguvu.. Naomba nikupe moyo kuwa.. Mungu wetu husikia sauti...
  8. NTATHUBUTU

    SWALI: Mkoa gani Tanzania ni mzuri kwa kuishi?

    mwanz panaaaaahusika.. Si sababu ya pombe.. Ila ni pazuri
  9. NTATHUBUTU

    Experiences bado ni tatizo kubwa katika ajira kwa new graduates..Wadau tufanyaje???

    nawaohopa sana graduates... Wengi wa maarifa ya kijiweni.. Niliwahi kukataliwa kazi baada ya kumtafutia mtu kazi na kumpelekea mpk kwake.. Hana uzoefu... Na ilikuwa na muongozo.. Nilichooowka
  10. NTATHUBUTU

    Experiences bado ni tatizo kubwa katika ajira kwa new graduates..Wadau tufanyaje???

    kabisaaaa mkuu... Ubunifu zero... Utasikia hilo mimi sijasomea... Hahaaaa.. Nikiwa intern sehem.. Nilikuwa si effective sana kwa hands on work.. Kutokana sababu fulani.. Ila i was a very good mfuatiliaji... Na hata kuhakiki mambo yanaenda sawa nikiwa kitengoni.. Nilitoa mawazo palipo hitajika...
  11. NTATHUBUTU

    wanajamvi someni hapa!!

    ungekuwa mdada ningeweza kukushauri zaidi... Sema kibongo bongo.. Huwa kuna kazi za wakaka na wadada.. Nami hapa nahusika zaidi na mambo ya wadada
  12. NTATHUBUTU

    una mpango wa kuagiza gari?

    kwa experience niliyonayo.. Kutoka kwa marafiki na watu wa karibu.. Kumekuwa na uzungushanaji wa mnunuaji gari na clearing agents walio wengi. Siongei kujitapa.. Ila kati ya hao wengi.. Nimekutana na mmoja amekidhi matwaka na haja zangu on time with a clear breakdown with receipt.. Kuna post...
  13. NTATHUBUTU

    Reasons Why New Graduates Can’t Get Jobs

    embu... Nikusaidie kumjibu... Soma neno kwa neno na uelewe ndugu.. Hajasema kubadilisha taaluma... Ila kufanya kazi yeyote iliyo halali kuliko kukaa bure home... Mfano mimi ni graduate.. Ila naweza kujitolea kusimamia usafi kkoo pale... Kwenda kuomba kazi ya kulea watoto day care... As in...
  14. NTATHUBUTU

    kazi ya kununua

    kiukweli kazi ni ngumu ila tunakosa ubunifu yakinifu kwa kazi... Usiwe na pupa wala papara... Umetafuta volunteerism ukakosa? Anzia hapo... Kisha tafuta watu kukujua na sio kutafuta uncle au mamdogo... Binafsi nina kazi mpk nakataaa.. Ila how did i make it there... Nilijichanganya mpk...
Back
Top Bottom