Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,458
- 45,750
Inategemea maisha yapi kama retirement buy a farm, au kama ni maisha mwanza
Karibu Arusha sanaa...
Nenda visiwa vya ukerewe kuna kitongojibkinaitwa ukara mkoa wa Mwanza.
Inategemea maisha yapi kama retirement buy a farm, au kama ni maisha mwanza
Karibu Pemba mkuu ni pazuri kuliko unavyofkiria, amani + utuluvu 100%, hewa nzuri kutoka kwenye miti iliyojaa iukijani, hakuna stress za wizi, majambazi, wala wanawake wanaojiuza
Mmmhh, Pemba tena mkuu! Hali ya usafiri ikoje huko?
Morogoro
Mkoa wa dodoma
wilaya ya dodoma mjini
kata ya mnadani
eneo la maili mbili
JIJI LA KITOVU CHA ELIMU TANZANIA
KUNA
1. CHUO CHA UDOM
2. ST.JOHN
3. CHUO MIPANGO
4. CBE
5. CHUO CHA MADINI
6. ASSEKI CHUO CHA BIASHARA
7. VETA KANDA YA KATI
9. CAPITAL CHUO CHA UALIMU
10. CHUO CHA MAFUNZO YA KIJESHI MAKUTUPORA
KUNA
¡ú BUNGE
¡ú KIWANDA CHA NYAMA CHA TAIFA TMC
KUNA
CHAKO NI CHAKO
MNADA MSALATO
MASTER PUB
LOL
KARIBU DODOMA
HOME OF THE BRAVE
Nenda katavi.
Ukweli mie naona mkao mzuri kuishi ni morogoro!! Kwanza sio mbali na dar ambako Ndio Tz ilipo pili Hali ya hewa si ya joto Kama dar, bei ya chakula sio ghali Sana na ardhi unaweza kununua kwa bei poa pia!! Sijazaliwa hapo wala kusoma ila nimefanya upembuzi yakinifu! Moro ze best
Maisha ya ujana mkuu!
Katika harakati za kuzichanga.
karibu sana mkoa wa ruvuma wilaya ya nyasa.
hahahaaa...Mtwara,mpaka 2019 Itakuwa washighton Dc amia mapema mkuu utapikia gas utafulia gas utalalia gas,utaogea gas kila kitu kwa gas