Nyie regam weye fikra finyu mnashindwa hata kufikiri mtu angekua kibaraka wa kuangusha serkali kama mara tatu na hao ambao so vibaraka wanapayuka hawana hoja za kuinyumbisha serikali. Ache wivu nyie mnatafuta chokochoko ili mfifize karama yake, Mungu yuko naye Zuberi Kabwe.
Ukipata mafanikio au umaarufu hapa tanzania jiandae kuonewa wivu mno ili urudi nyuma au uwe sawa na wao masikini hii nchi mnawatupa watu wenye uwezo mkubwaa wa kuleta mabadiliko mnabakia wivu tu. ZTTO KABWE ATANG'ARA TU HATA KAMA HAYUKO CHADEMA, KARAMA KAPEWA NA MUNGU ILI AWAPINGANIE WAYONGE...
Mafunzo ya JKT hayana tija hata kidogo walinawadhalilisha watoto wa kike na kuwaambukza tu. eti wanajenga uzalendo wapi na wapi wakati walioenda JKT ENZI HIZO NDO MAFISADI, WEZI WAKUBWA UPUUZI HUU HATA HAYANA HURUMA NA WALALA HOI. NDO HAO WATOA HUDUMA WENGINE KUJIONA TU ETI UZALENDO. UZALENDO NI...
Hivi mbona munakua na akili ndogo hzo nyaraka ziliibuliwa kipindi kile PAC wananasilisha masuala ya escrow ilikua ni upuuzi wa kubumba lkn siwashangai nyie watazania mna wivu hampendi kuona mtu anang'ara kwa lolote juu ya mafanikio yake ndo haya haya ya diamond mnamfanyia shinda kweli nyie. Wivu...
Siku moja nilimdadisi mdada mmoja nikamuulza mbona akina mama wanaonekana weye huruma na upendo lakn kuna jambo analoweza kulifaya na kubaki kushangaa.Wanaume hao hao wanaonekana wakatili ndo wanaweza saidia mtu yeyote katika mazingira usiyo weza hata kufikiria kwa asilimia kubwa zaidi ya akina...
Wanasumbua bunge hawa wabunge kutoka kgma angalia hoja zao bungeni lazma waziri akiulizwa swali na hawa lazma ajiandae kiukweli, umeshajiuliza kwann wako vle? Hoja za kutikisa serkal hutolewa na hawa wegne ni payuka payuka tu.
Leo bunge limeonesha uhai mkubwa kuweza kushikamana katika suala, sante sana ndugai kwa kutumia hekma ya kiti kuwapa wabunge wachaingie hili suala. Lazma iletwe bungeni atajulikana tumbili ni nani.
What i can note to RPF leadership is the fear of being challenged, Kagame defences his leadership to an expense. When kagame is challenged by any person even if is tutsi he must face harsh actions like patrick kalegea who was killed and Jeneral Kayumba Nyamwasa who is facing hard time to bring...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.