Zitto kutimkia ACT-Tanzania?

Zitto kutimkia ACT-Tanzania?

Hiyo ni mali ya chama lazima arejeshe mkuu
Hata hivyo tusimkumbushe tumwache arejeshe kwa hiari maana hakawii kuja kuomba msamaha kinafki ili atuvuruge

Kuomba msamaha wapi kaka!? Hakawii kwenda mahakamani kuweka zuio asirudishe gwanda.
 
Lisemwalo lipo kama halipo laja huu ni msemo wa wahenga ila unamaana kubwa sana
Baada ya hisia sasa imekuwa kweli Zitto kabwe rasmi ahamia ACT mwigamba ampokea kwa mbwembwe.
Source:Magazeti ya leo

Ni haki yake hata kama angeamua kubaki bila chama. Mbona mimi nina kadi za CCM,CHADEMA, TLP,CUF na NCCR Mageuzi pia sina kadi ya chama chochote.
 
lisemwalo lipo kama halipo laja huu ni msemo wa wahenga ila unamaana kubwa sana
baada ya hisia sasa imekuwa kweli zitto kabwe rasmi ahamia act mwigamba ampokea kwa mbwembwe.
Source:magazeti ya leo

Afute kauli yake aliyosema kwamba yeye ZZK atakuwa wa mwisho kujitoa ndani ya chama kuu CHADEMA.
Anauchungu na CHADEMA, ameitoa mbali CHADEMA. Huyu ni kigeugeu hafai.
 
Nyie regam weye fikra finyu mnashindwa hata kufikiri mtu angekua kibaraka wa kuangusha serkali kama mara tatu na hao ambao so vibaraka wanapayuka hawana hoja za kuinyumbisha serikali. Ache wivu nyie mnatafuta chokochoko ili mfifize karama yake, Mungu yuko naye Zuberi Kabwe.
 
Last edited by a moderator:
Lisemwalo lipo kama halipo laja huu ni msemo wa wahenga ila unamaana kubwa sana
Baada ya hisia sasa imekuwa kweli Zitto kabwe rasmi ahamia ACT mwigamba ampokea kwa mbwembwe.
Source:Magazeti ya leo

Hata Mheshimiwa Augustine Mrema aliingia NCCR Mageuzi na TLP kwa mbwembwe zaidi ya Zito. Tofauti ya Mrema na Zitto ni kuwa NCCR na TLP wenyeviti kwa hiari yao waliamua kuondoka wakampisha nafasi. Huku ACT-Lake Tanganyika mmefukuza mwenyekiti ili kumwandalia makao Zito.
 
Zitto Zuberi Kabwe anaweza akawa mzuri sana huko aendako lakini siyo ndani ya Chadema,ndani ya Chadema Zitto ni msaliti mkubwa wa chama kwa sababu ya pesq za ccm.
Hakika usaliti aliyoifanyi Zitto haitamwacha salama popote aendeko.Ni sawa na mke aliyeachika kwa umalaya popote atakapoolewa mume wake mpya atakua ana muona siyo mwaminifu(malaya) hata kama atakua alishaa chaumalaya wake.
 
Intelejinsia ya chadema iko juu sana na wengine bado misaliti yote tunatoa kabla ya oct,,,
 
zitto zuberi kabwe anaweza akawa mzuri sana huko aendako lakini siyo ndani ya chadema,ndani ya chadema zitto ni msaliti mkubwa wa chama kwa sababu ya pesq za ccm.
Hakika usaliti aliyoifanyi zitto haitamwacha salama popote aendeko.ni sawa na mke aliyeachika kwa umalaya popote atakapoolewa mume wake mpya atakua ana muona siyo mwaminifu(malaya) hata kama atakua alishaa chaumalaya wake.

umenena
 
Humu kuna comments nyingi ambazo hazileti maana, muelekeo wala maendeleo. Simjui kiundani Zito lakini alinifurahisha pale alipo chachamaa kwenye kesi ya escrow.
Sasa waleta mjadala ni vizuri tukazungumzia mazuri aliyo yafanya na mabaya alio yafanya ili wasiomjua waweze kumjua vizuri na atakae mchagua kwenye ubunge au lolote ajue kwanini anamchagua, badala ya watu kua kama bendera inayo fuata upepo, mradi mtu kasikia Zito ni mzuri basi mpe kura au ni mbaya basi nyime kura.

kwenye escrow ni PAC ndiyo iliyochachamaa...Zitto alionekana zaidi kwa vile alikuwa ni mwenyekiti.

kwa hiyo sidhani kama escrow ndiyo kura yake ya turufu ya kumtoa...
 
Humu kuna comments nyingi ambazo hazileti maana, muelekeo wala maendeleo. Simjui kiundani Zito lakini alinifurahisha pale alipo chachamaa kwenye kesi ya escrow.
Sasa waleta mjadala ni vizuri tukazungumzia mazuri aliyo yafanya na mabaya alio yafanya ili wasiomjua waweze kumjua vizuri na atakae mchagua kwenye ubunge au lolote ajue kwanini anamchagua, badala ya watu kua kama bendera inayo fuata upepo, mradi mtu kasikia Zito ni mzuri basi mpe kura au ni mbaya basi nyime kura.
Mkuu elewa kwamba hapa hatuzungumzii Escrow,tunazungumzia Usaliti na mustakabali wake kisiasa.usichanganye mada.kwenye Escrow tulikuwa wakweli na tulimuunga mkono na kwenye mapungufu tulisema.Sasa Escrow haiwezi ku-offset Usaliti wa Zitto.Hata ivo issue ya Escrow haikuwa ni private(kama Zitto anavyowaamisha),ni kazi ya CAG na PAC ikachambua na finally bunge likaazimia,labda uniambie kama PAC ilishabinafsishwa
 
Zitto njoo ugombee ubunge Arusha mjini, tutakupigia kura kwa asilimia 100.
 
Zitto njoo ugombee ubunge Arusha mjini, tutakupigia kura kwa asilimia 100.

Arusha kuna rais wa kudumu we kijana au unajitoa ufahamu?
Hapo mtaongozwa na kamanda mpaka atakapo ridhia kumwachia mtu anayeona anafaa kama inawauma sana unaweza kuhama eneo ukaenda monduli.
 
Back
Top Bottom