Tanzia: Ben Kiko afariki dunia

Tanzia: Ben Kiko afariki dunia

benKiko.jpg
 
,

Tutakukumbuka jinsi ulivyolitumikia taifa lako kwa moyo mkunjufu.
Nakumbuka sauti yako ya madaha iliyojaa bashasha wakati huo ukitangaza toka kituo cha Dodoma na baadae ulituletea habari moto moto wakati wa vita ya Kagera ya kumg'oa Nduli Idd Amin kutoka katika ardhi yetu,ulitoa taarifa ambazo sisi tuliokuwa tukisikiliza toka sehemu mbali mbali za Tanzania tulibaki na furaha ya kujua vijana wetu wapiganaji shupavu watashinda vita bila wasiwasi wowote.

"Huyu ni Ben Kiko akikuletea habari hizi kutoka uwanja wa mapamabano Mbararaaaaa.

RIP Ben Kiko.

H
 
Mungu awape faraja wanafamilia hususani wanaye na mkewe kama yu ngali hai...

Mwanadamu yu mavumbi na mavumbini atarejea...
 
Aisee nakumbuka alivyokuwa anarupoti matukio ya Tabora....mara nyingi yalikuwa ya kusisimua na kustaajabisha....R.I.P jembe


Umenikumbusha mbari huyu wakati mwingine tulikua tunamuita bwana mambo. R.I.P Ben Kiko.
 
Every moment of life is a step towards death; pumzika kwa amani BEN KIKO.
 
Back
Top Bottom