ligera
Hebu jiweke katika nafasi kama hiyo, mkeo akuulize kuwa akizaa nje ya ndoa utanya nini, je, utamjibu nini ? umkute akiwa na uhusiano na mtu wa nje utamfanya nini. Kama ni mimi ndo utakuwa mwisho wa ndoa. Kwa hiyo,
hakuna binadamu anaweza kuvumilia ujinga kama huo awe mwanamke au mwanaume tena kwenye dunia hii yenye maradhi ya kila kuanzia mafua mpka Ebola.
Hebu jiweke katika nafasi kama hiyo, mkeo akuulize kuwa akizaa nje ya ndoa utanya nini, je, utamjibu nini ? umkute akiwa na uhusiano na mtu wa nje utamfanya nini. Kama ni mimi ndo utakuwa mwisho wa ndoa. Kwa hiyo,
hakuna binadamu anaweza kuvumilia ujinga kama huo awe mwanamke au mwanaume tena kwenye dunia hii yenye maradhi ya kila kuanzia mafua mpka Ebola.
Last edited by a moderator: