Kabisa, Serikali inahangaika kukusanya hela mpaka kwenye tozo za simu halafu yeye anaziachia kizembe zembe kabisa. Eti mpaka mtu aliyejenga nyumba ya 100m naye analipishwa 27,000!!
SGR ni mhimu sana katika ukuaji wa uchumi, nchi zote zilizoendelea zinatumia train, na zinazoendelea ili zikuze uchumi lazima ziende kwenye usafiri wa train. Usafiri wa malori na mabasi kwa masafa marefu umebaki kwenye nchi masikini tu, ukipinga rail basi jua kuwa bado hujakua
Nawapongeza kwa hatua hii, ushauri wangu ni kuwa wawenacho kipimo cha korona wasitegemee cha maabara ya taifa, Mchina kila mara anatoa adhabu kwa mashirika ya ndege kila abiria wakipatikana na korona, wakipatikana wanne tu suspension ya wiki moja na kuna idadi ikifika unapigwa mwezi mzima. Ni...
Ni mifumo mibovu tu ya vyuo vyetu, na vyuo vingi sana hata Tz vina shida hii, utakuta mwalimu anafelisha kwa makusudi ili atunge mitihani ya marudio kwa sababu tu kuna hela wanalipwa! Kuibiwa mtihani yawezekana kunasababishwa na mifumo ya Professor anatunga mtihani badala ausimamie mwenyewe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.