mhuri25
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 3,257
- 4,466
Upo sahihi nafikiri labda kiswahili kimeishiwa Misamiati ndio maana walishindwa kupata neno zuri/sahihi kutambulisha hizo idara zingine Toafuti na Tanzania nchi zingine zote waliobaki wanaitwa Services/Department yaan Police Service, Au Police DwEpartment cha ajabu ukija hapa Bongo Hata Zimamoto wanajiita Fire ForceMilitary ni Moja TU nayo ni jwtz, hayo mengine sio majeshi or military .
Police sio military.
Magereza sio military .
Fire sio jeshi
Uhamiaji sio jeshi.
Halafu hili swala nalitafutia Kujua kwa nini na nani alianza kuviata polisi, magereza uhamiaji, zima moto eti ni majeshi.
Haingii akilini na haina mantiki.
Bakita waje watoe ufanunuzi hapa
Na mwisho katiba yetu yenyewe imevitaja hivyo vyombo kama Jeshi kasoro uhamiaji tu wao ndio hutambulika kama Idara