johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,895
- 141,828
Hii ni habari njema kabisa kwa shirika letu la ndege.
Mkurugenzi mkuu wa ATCL amesema shirika lake litaanza safari za China tarehe 20 mwezi huu.
Bwana Matindi amesema wasafiri watalazimika kupima Corona mara mbili katika muda wa saa 48 kabla ya kuanza safari.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Mkurugenzi mkuu wa ATCL amesema shirika lake litaanza safari za China tarehe 20 mwezi huu.
Bwana Matindi amesema wasafiri watalazimika kupima Corona mara mbili katika muda wa saa 48 kabla ya kuanza safari.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!