Recent content by nrango

  1. N

    Natafuta raman ya nyumba ya room 3

    Uko mkoa gani..kama ni Dar nitafute inbox..
  2. N

    Masada wa barua ya kusitisha kutoa huduma kwa kampuni

    Nenda TRA kaulizie watakuelewesha
  3. N

    Nape awapongeza Dkt Slaa na Lipumba

    Hivi kumbe bado hujapona ule ugonjwa wa akili uliokuwa nao..waambie ndugu zako wakurudishe mirembe ukaendelee na dozi.
  4. N

    Tanzania amka!!!!!!!! Achenii ushabiki usio na maana....

    Kwa taarifa yako..watu ndo wanamtaka agombee...watu ndo walimshawishi ahame chama...watu wanamtaka awe kiongozi wao..ingekuwa yeye ndo anataka kwa nguvu basi mikutano isingejaa kiasi hicho#democracy
  5. N

    Tanzania amka!!!!!!!! Achenii ushabiki usio na maana....

    Wewe sio chadema...kwanza hujielewi ww..huwezi kuwa chadema halafu uchague ccm...
  6. N

    Tanzania amka!!!!!!!! Achenii ushabiki usio na maana....

    Nashangaa bado kunamtu anafikiri tunaweza pata kiongozi bora ndani ya ccm..hizo ni ndoto za mchana na uvivu wa kifikiri..after all huwezi kusema unachagua mtu..kwa nchi yetu tutapata fursa ya kuchagua mtu pale tu ambapo tutakuwa na mgombea binafsi...kwa sasa tunachagua chama,na kiongozi tutakae...
  7. N

    Selelii awavua nguo Rostam, Lowassa

    Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe siku zote...Lowasa is the coming president ..hata msemeje!
  8. N

    Mwanzo alikuwa ananiona mi ni handsome na tena ni mjanja sana lakini baadae......!

    Ndio wewe ni mshamba..watoto wa mujini hawashindwi kitu
  9. N

    Wazazi hawataki nioe Mchaga

    Zifuatazo ni baadhi ya vigezo vya kuoa mchaga..#1 .Uwe na kazi/biashara ya uhakika.#2 .Uwe na malengo kimaisha ambayo yanatekelezeka #3 .Uwe na upendo wa kweli. #4 .Uwe tayari kwenda Moshi kila mwisho wa mwaka. #5 .Uwe na wivu wa maendeleo #6 .Uwe msikivu kwa mkeo anapokushauri ni lazima...
  10. N

    Niko Dar nahitaji Marine boards za kukodi

    Kuna jamaa anakodisha maeneo ya boko ccm ..nilikuwa na namba yake nimepoteza ...upande wa kulia kama unatokea tegeta
  11. N

    Mke wangu namtongoza upya kila siku

    Kwani kabla hajabadilika ilikuwaje..ilikuwa mechi ngapi angalau kwa wiki..inawezekana kapata kamchepuko asee..kama idadi ya mechi imepungua sana unapaswa kufuatilia tatizo ni nini.
  12. N

    Nina 5ml ninahitaji gari la maana.

    Angalia www.zoomtanzania.com yapo mengi tu ..ila hakikisha unakuwa na fundi wako wa kukusaidia kukagua
  13. N

    Samsung tablet inauzwa 240000

    Screen yake inch ngapi...headphone zipo?
  14. N

    Harusi ipo palepale ila nabadilisha bibi harusi

    Asee nadhani kuna vitu vingine vibaya aliwahi kukufanyia sema ulikuwa huelewi kwa sababu ya mapenzi...na mama yako kuugua mpaka kuletwa hapa mjini nadhani ni mpango wa mungu kukuonyesha zaidi ubaya wa huyo mchumba wako...mpige chini ahirisha harusi mpaka mwakani then tafuta dem mwingine...
Back
Top Bottom